Azam FC yatua kwa Mkongomani

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa rasmi Januari Mosi, 2026, uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kuipata saini ya beki wa kulia wa AS Vita Club, Mkongomani Henoc Lolendo Masanga, ili kuongeza ushindani wa nafasi. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kupata saini ya beki huyo mwenye miaka 21,…

Read More

Kachwele: Kucheza na Messi kumeniongezea kitu

MSHAMBULIAJI wa Whitecaps anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema kucheza ligi moja na Lionel Messi (Inter Miami) kumemwongezea uzoefu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na msimu uliopita akiwa na…

Read More

SERIKALI YATENGA FEDHA KUNUNUA VITABU VYA MAKTABA NCHINI

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imetenga fedha katika Bodi ya Maktaba Tanzania kwa ajili ya ununuzi wa vitabu ili kuwezesha watanzania kupata vitabu na kujenga tabia ya usomaji. Hayo yameelezwa Agosti 02, 2024 Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda wakati wa Uzinduzi wa Kitabu cha Riwaya chenye jina Tangled…

Read More

Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali – MICHUZI BLOG

– Wapewa maarifa ya uchimbaji, vifaa– Wajenga shule, maabara ya kisasa MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa kati na baadaye mkubwa….

Read More

Bashiri na Meridian bet Leo – Global Publishers

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 kama kawaida kitawaka leo ambapo Brest ataumana dhidi ya Angers huku tofauti yao ni pointi 6 pekee. Kila…

Read More

Vigogo kushiriki ibada ya kuaga mwili wa Mhagama

Dodoma. Viongozi mbalimbali Serikali na wabunge wameanza kuwasili katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege kwa ajili ya ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama. Ibada hiyo inatarajia kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine wa…

Read More