Wataalamu wasisitiza Afrika kuunganisha nguvu kufungua fursa za nishati

Cape Town. Wataalamu wa nishati wamesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuunganisha nguvu kama mkakati muhimu wa kukabiliana na changamoto sugu za nishati na kufungua fursa zilizopo katika sekta hiyo. Wakizungumza katika Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Forum) unaoendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, ambao unahudhuriwa na washiriki takriban 6,000 wakiwemo viongozi kutoka sekta…

Read More

Hofu yatanda kwa watia nia CCM

Dar es Salaam. Kuchukua na kurudisha fomu ni jambo moja, lakini kupenya katika mchujo na kuwa kati ya watatu watakaopigiwa kura za maoni na wajumbe, ni jambo lingine. Hilo ndilo linalowaweka matumbo joto maelfu ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), waliochukua fomu kuomba ridhaa ya chama hicho kuwania nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi…

Read More

TRA yakusanya Sh8.97 trilioni kwa miezi mitatu

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya Sh8.97 trilioni kati ya Julai hadi Septemba 2025 Ikiwa ni ongezeko la asilimia 15.1 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliotangulia. Makusanyo hayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 106.3 ya lengo la kukusanya Sh8.43 trilioni. Taarifa iliyotolewa na TRA leo Oktoba 2, 2025  inaeleza…

Read More

Latra kuondoa vipanya mijini, yaanza na Mwanza

Dar es Salaam. Huenda siku chache zijazo, gari ndogo za abiria aina ya ‘Hiace’ zikaondolewa kabisa katikati ya miji mikubwa yote kufuatia utekelezaji wa mkakati maalumu wa kupunguza msongamano wa vyombo vya moto unaofanywa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra). Mkakati huo unalenga kuhakikisha leseni za kusafirisha abiria katika miji mikubwa zinazotolewa zinakuwa ni…

Read More

Marekani yaishambulia Iran, yenyewe yaapa kulipa kisasi

Lilikuwa suala la muda tu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Marekani kutangaza hadharani kuwa imefanya mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nyuklia nchini Iran. Marekani sasa imeingia rasmi katika mgogoro  kati ya Israel dhidi ya Iran. Hatua hiyo imetangazwa usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 22, 2025, na Rais wa taifa hilo, Donald Trump. Katika hotuba…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA NA WATUMISHI WA TAASISI YA GPE JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia masuala ya Elimu Duniani (GPE), Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bi. Mamta Murthi, Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Maendeleo ya Watu walipokutana makao makuu ya Benki hiyo jijini Washington DC, Marekani. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya GPE Bi. Christine…

Read More

SERIKALI KUNUNUA MBOLEA NA KUWAGAWIA WAKULIMA

………….. Na Ester Maile Dodoma  Dola milioni Mia moja na themanini za wekezwa katika kiwanda cha uzalishaji mbolea kilichopo Nala jijini Dodoma.  Hayo yameelezwa leo 11 June 2025 na Waziri wa Kilimo Husein Bashe wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari akitoa taarifa kwa umma juu ya siku ya uzindunzi wa kiwanda cha uzalishaji…

Read More

TAMWA Yalaani Kejeli Dhidi ya Wanawake Wanasiasa, Yatoa Wito wa Heshima na Usawa

MWASISI wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA) Edda Sanga amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni rais wa kwanza mwanamke ambaye Tanzania inajivunia kuwa na kiongozi wa juu mwanamke. Amesema udhalilishaji unaofanywa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya wanawake wanasiasa, unajenga taswira kuwa mwanamke hafai katika ngazi ya uongozi. “Kama udhalilishaji huu unakwenda hivyo unavyokwenda, bado…

Read More

BUKUA KITITA LEO KUPITIA MERIDIANBET

IJUMAA ya leo inaweza kukupa nafasi ya kuanza mkwanja wa kutosha kupitia michezo ambayo inaenda kuchezwa leo kupitia ligi kuu ya Hispania, Ufaransa, bila kusahau ligi kuu ya Ujerumani. Miamba mitatu leo kutoka ligi kubwa tatu itashuka dimbani kutafuta alama tatu vilabu vya Real Betis kutoka Hispania, Borussia Dortmund kutoka Ujerumani, na Lille kutoka nchini…

Read More