FADLU; Kazi ipo hapa Ligi Kuu Bara 2024/25 ikianza

BAADA ya misimu mitatu ya tabu ambayo Simba wameipitia wakati watani zao wa jadi Yanga wakiwa na shangwe kubwa, msala umekwenda kumuangukia Kocha Fadlu Davids ambaye ana kazi kubwa ya kufanya kuirudisha timu hiyo kwenye kilele cha furaha. Ipo hivi; Simba ambayo misimu minne mfululizo kuanzia 2017-2018 hadi 2020-2021 ilikuwa ikitamba kwa kubeba makombe ya…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More

Uchumi wa Bluu wahitaji kuwa na ushirikiano kwa Serikali mbili

*Kuna maeneo mengine ya uchumi wa Bluu hajaangaziwa Na Chalila Kibuda,Bagamoyo Waziri Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema kuwa Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zinatakiwa kuwa na ushirikiano kwenye uchumi wa Bluu. Dkt.Khalid ameyasema katika kulekea maadhimisho na Maonesho Siku ya Mabaharia Duniani ambayo…

Read More

Ruto avunja baraza la mawaziri, amtoa Mwanasheria Mkuu

Nairobi. . Rais wa Kenya, Dk William Ruto, amewafuta kazi mawaziri wote katika Baraza la Mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Justin Muturi, kutokana na maandamano yaliyoongozwa na vijana wa Gen-Z dhidi ya serikali yake. Kwa mujibu wa tovuti ya Nation, ni Waziri Mkuu pekee, Musalia Mudavadi, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje…

Read More

Katika Djibouti, wanaharakati kushawishi kumaliza ukeketaji wa kike – maswala ya ulimwengu

“Ninaogopa wanaume, wa kila mtu, wa kila kitu,“Aliiambia Shirika la Afya la Kijinsia na Uzazi la Umoja wa Mataifa (UNFPA). FGM, shughuli ambayo inajumuisha kubadilisha au kujeruhi sehemu ya siri ya kike kwa sababu zisizo za matibabu, inatambuliwa kimataifa kama Ukiukaji wa haki za msingi za binadamu. Ni suala la ulimwengu, lililoripotiwa katika nchi 92…

Read More