Mambo 6 Ya Kumfanyia Mpenzi/Mchumba Asikusahau Milele – Global Publishers

Kuna mambo ya msingi ambayo mwanamke anahitaji kutoka kwa mwanamme ili kufurahi na kutulia katika mahusiano japokuwa sio rahisi kukwambia mojakwa moja.Na endapo utasoma na kufwata mafundisho haya lazima mwanamke wako hatokusahau hata kama mkiachana YAKUZINGATIA YAPO HAPO CHINI 1.Kuridhishwa Kwenye tendo la ndoa Mwanamke anapenda aridhishwe Kwenye tendo la ndoa. Hata kama utakuwa na…

Read More

JACKLINE ISARO ACHUKUA FOMU RASMI KUGOMBEA UDIWANI NGOKOLO

Mgombea Udiwani Mteule Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngokolo, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Jackline Isaro, akipokea Fomu za Uteuzi za kugombea nafasi ya Udiwani kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Ngokolo Jacob Mwakaluba (kushoto). Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mgombea Udiwani Mteule Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngokolo, Halmashauri…

Read More

Simba yamtambulisha SpiderMan | Mwanaspoti

KLABU ya Simba imemtambulisha kipa mpya, Moussa Camara ‘Spider’ kwa mkataba wa miaka miwili akitokea AC Horoya ya Guinea. Camara ni maarufu kwa jina la Spiderman, kwa umahiri wake wa kudaka mipira, ni  raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 25 amejiunga na klabu hiyo ya Msimbazi ili kuongeza nguvu katika eneo hilo baada ya…

Read More

Maagizo ya Rais Samia TRA, wakwepa kodi moto waja

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji na watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuepuka mazingira ya kuchochea rushwa na ukwepaji kodi. Amesema mtumishi yeyote anayejihusisha na vitendo hivyo visivyofaa kwa maendeleo ya nchi hana budi kufuatiliwa na kushughulikiwa. Ameagiza uongozi wa mamlaka hiyo kufuatilia mienendo hiyo…

Read More

Ma- DED wanolewa kuhusu uchaguzi, rushwa na mikopo

Kibaha. Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa nchini kote leo Mei 6, 2024, wameanza mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kuwaongezea mbinu za kuboresha utekelezaji wa majukumu yao mahala pa kazi. Mada zitakazotolewa wakati wa mafunzo hayo yanayofanyika Kibaha mkoani Pwani ni pamoja na masuala ya rushwa na ubadhirifu katika mamlaka za Serikali…

Read More

Miaka 10 ya ACT Wazalendo wakijenga imani katika nyakati ngumu

Mwanzo unaendana na tenzi ya “wanakwenu kwa heri”, au hadithi ya wana wa Israel kuondoka Misri, kufuata malisho mema Nchi ya Ahadi. Wanasiasa walioshindwa kuiva chungu kimoja na viongozi wenzao Chadema, wakaanzisha ACT Wazalendo. Miaka 10 ilishatimia tangu ACT Wazalendo wapewe usajili wa muda. Mei 5, 2024, itatimia miaka 10 tokea walipopata usajili wa kudumu….

Read More

Wananchi walivyopokea uteuzi wa Dk Gwajima

Dar es Salaam. Katika baraza jipya la mawaziri, miongoni mwa teuzi zilizowakosha Watanzania wengi wa maeneo mbalimbali ni wa Dk Dorothy Gwajima, waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu. Tabia ya kuvaa uhalisia, kuwa mfuatiliaji wa mambo hususan mitandaoni, kujibu na kusimamia hoja huku akiongoza kwa kubebesha watu wajibu wao, vimetajwa kuwa…

Read More