Ada-Tadea kutoa fomu bure kwa wagombea wanawake na wenye ulemavu

Simiyu. Chama cha African Democratic Alliance Party (Ada-Tadea) kitatoa fomu bure kwa wagombea wanawake na wenye ulemavu watakaojitokeza kuwania nafas za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao. Katibu mkuu wa chama hicho, Salehe Msumari amesema hayo leo Jumapili Machi 16,2025 mjini Maswa wakati akiwapokea wanachama wapya 100 waliojiunga na chama hicho kutoka vyama mbalimbali…

Read More

Waipa serikali mbinu kupunguza deni la Taifa

Dodoma. Msisitizo kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi umetajwa kuwa njia pekee ya kupunguza Deni la Taifa ambalo mpaka mwaka huu wa 2025 limefikia Sh97 trilioni, kwa mu-jibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG). Wadau wa maendeleo ya Taifa wamebainisha hayo leo Mei 30, 2025 jijini Dodoma wakati wa…

Read More

Crows yaanza visingizio | Mwanaspoti

CROWS imeanza visingizio baada ya kocha wa timu hiyo, Abbas Sanawe kusema kuwa, kukosa utulivu kwa   wachezaji hasa katika robo ya tatu, imechangia kwa kiasi kukikubwa kufungwa na Savio kwa pointi 92-70. Timu hiyo ilipoteza mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) uliopigwa kwenye Uwanja wa DonBosco Oysterbay. Sanawe aliliambia…

Read More

KMC, Mtibwa Ligi Kuu Bara ngoja tuone!

NA leo tena! Ndivyo unavyoweza kusema wakati KMC iliyotoka kupasuka nyumbani katika mechi iliyopita mbele ya maafande wa JKT Tanzania, leo itashuka tena uwanjani kuvaana na Mtibwa Sugar iliyopoteza pia pambano lililopita la Ligi Kuu dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa KMC. KMC inayonolewa na kocha Mbrazili, Marcio Maximo ikipoteza mechi sita mfululizo za Ligi…

Read More

Wauza jezi kicheko Simba Day

WAKATI zikisalia saa chache kuanza kwa kilele cha tamasha la Simba Day, asilimia kubwa ya mashabiki wamevalia jezi mpya ya timu hiyo, lakini wafanyabishara wa bidhaa hizo wakichekelea. Kilele cha wiki ya Simba Day ni siku ambayo hutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi kitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo Ali Kiba, Yammi, Mbosso…

Read More