Jeshi Polisi Ruvuma lasitisha mikutano ya Chadema 

Songea. Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, limesitisha mikutano yote iliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ukiwamo wa kuhitimisha ziara ya siku sita ya viongozi wakuu wa chama hicho, uliopangwa kufanyika leo. Leo Alhamisi Aprili 10, 2025 Chadema ilipanga kufanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Matalawe, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha…

Read More

Siri ya Uhuru wa Tanganyika

Wakati Tanzania Bara ikiadhimisha miaka 63 ya Uhuru, ni wazi kuwa uwezo wa kujenga hoja wa Mwalimu Julius Nyerere ulikuwa kiini cha kufanikisha Uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza Desemba 9, 1961. Katika kitabu “Tanganyika’s Independence Struggle” kilichoandikwa na Pius Msekwa, Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Msekwa…

Read More

DK NCHIMBI NA MAAGIZO KWA MAWAZIRI HAWA, KIGOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa maelekezo kwa mawaziri wanne kufuatia maombi ya wananchi wa Mwandiga, mkoani Kigoma kuhusu umeme, usalama wa raia na mali zao, maji na kituo cha afya. Balozi Nchimbi ambaye yuko Kigoma akiendelea na ziara yake ya siku 3 mkoani humo, aliyoanza Agosti 4,…

Read More