Ngao ya jamii 2024, huku moto kule balaa

COASTAL Union itakuwa timu mwenyeji kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni. Timu hiyo iliyo chini ya kocha David Ouma inatarajia kushuka kwenye dimba hilo ikiwa na kumbukum-bu mbaya ya kupata kichapo cha mabao 3-0 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jijini…

Read More

Kibasu, Ruaha zang’ara TCA | Mwanaspoti

Ruaha Girls imeibuka mbabe mara mbili dhidi ya Tarangire Girls katika michezo ya majaribio ya kriketi kwa nyota wa kike nchini, kwenye Uwanja wa UDSM, jijini mwisho wa juma. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Chama cha Kriketi Tanzaniai(TCA), Ateef Salim, michezo hii ya mizunguko 20 na 15, imezindua  rasmi zoezi la kusaka wachezaji bora…

Read More