Mrema, wenzake wa G55 kulimwa barua katika matawi yao

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa kichama Ilala, kimewaagiza viongozi wake wa matawi kuwaandikia barua makada wake saba akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki na Mawasiliano ya Mambo ya Nje, John Mrema wajieleza kwa nini wasichukuliwe hatua za kinidhamu baada ya kujitokeza hadharani kupinga msimamo wa chama hicho. Mbali na Mrema…

Read More

“Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi Ghuba ya Chwaka”

Unguja. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu wa hifadhi za bahari na rasilimali zake. Ameyasema hayo Januari 23, 2025 Marumbi wakati wa uzinduzi na kukabidhi boti ya doria kwa ajili…

Read More

TRA YAZINDUA BOTI YA DORIA ZIWA VICTORIA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Boti ya doria ambayo itatumika kupambana na magendo katika Ziwa Victoria na kukomesha vitendo vya ukwepaji kodi ambavyo vimekuwa vikifanywa na watu wasioitakia mema Taifa la Tanzania. Uzinduzi wa Boti hiyo ya Doria umefanywa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe Hamad Chande mkoani Mwanza na kueleza kuwa ujio wa…

Read More

Msajili aipa wiki moja Chadema ijibu barua ya Mchome

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa muda wa wiki moja kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiwe kimewasilisha maelezo kuhusu malalamiko ya mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho, Lembrus  Mchome. Mchome aliwasilisha malalamiko kwa msajili wa vyama akilalamikia kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Januari 22, 2025 kwamba…

Read More

TDB- MAZIWA YALIYOSINDIKWA NI SALAMA

KUELEKEA Kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Maziwa mwaka huu, Bodi ya Maziwa nchini imeendelea kutoa wito kwa wananchi kuongeza unywaji wa maziwa, hasa yale yaliyosindikwa, ili kuboresha afya, lishe bora na kuunga mkono sekta ya maziwa nchini. Akizungumza na waandishi wahabari leo Mei20,2025 katika mafunzo yaliyotolewa jijini Dar es salaam, Kaimu Msajili Bodi ya…

Read More

Mwananchi yaeleza manufaa kongamano la ‘Energy Connect’

Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Victor Mushi amesema lengo la kuandaliwa kwa kongamano la ‘Energy Connect’ ni kuwezesha mazungumzo kuhusu matumizi ya nishati safi nchini Tanzania. Kupitia kampeni isemayo, “ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi ya kupikia, endelevu na mustakabali wa kijani,” watu watajifunza jambo kwa undani. Kongamano hilo…

Read More

Simba, Yanga zapewa mchekea Kombe la Shirikisho

Mabingwa watetezi wa Kombe la FA, Yanga SC, wataanza safari yao ya kutetea taji kwa kucheza dhidi ya Copco FC kutoka Mwanza, inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (First League). Kwa upande wa Simba SC, wao wamepangwa kuvaana na Kilimanjaro Wonders katika hatua ya 64 bora ya michuano hiyo.  Michezo hiyo inatarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi…

Read More