ACT wapendekeza mbinu kuepuka mikopo umiza

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema Serikali inapaswa kuanzisha mifumo rahisi ya mikopo kwa wananchi ili kuwarahisishia kuepuka mikopo isiyo rasmi maarufu kama mikopo umiza au kausha damu inayowaletea changamoto. Chama hicho kimesema aina hiyo ya mikopo inayotolewa na taasisi zisizo rasmi, imekuwa changamoto kwa wananchi, hasa wale wa kipato cha chini. Hata…

Read More