Umeme jua unavyoweza kumbeba mkulima wa kilimo cha umwagiliaji

Dar es Salaam. Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi na gharama za uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, matumizi ya nishati ya umeme jua hasa kwenye umwagiliaji yanatazamwa kama suluhisho. Teknolojia hiyo sio tu inapunguza gharama za kilimo, bali inachangia kuongeza uzalishaji wa mazao, hasa katika maeneo yenye ukame na upatikanaji mdogo…

Read More

Beki Al Ahli Tripoli amuomba radhi Deborah Simba

Beki wa Al Ahly Tripoli ya Libya, Thienry Manzi amemuomba radhi kiungo wa Simba, Deborah Fernandez, baada ya kumuumiza kwenye mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya mtoano. Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili ambapo Manzi alionekana kumkanyaga Deborah baada ya wawili hao kuangushana wakati wanawania mpira. Kwenye tukio hilo licha ya…

Read More

Sababu wamachinga Simu2000 kumfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Miongoni mwa wamachinga wakieleza sababu ya kumkataa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko na kufanya mgomo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Miongoni mwa sababu hizo ni kile walichodai hawana imani naye katika kushughulikia changamoto zao. Mzizi wa maandamano na mgomo wa wafanyabiashara katika soko hilo…

Read More

TRA YAZINDUA MAFUNZO YA IDRAS, TAASISI 60 KUANZA KUTOA HUDUMA

:::::::: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia Februari 9, mwaka huu,wakati wa uzinduzi rasmi wa Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) taasisi 60 zitakuwazimeunganishwa na mfumo huo ili ziweze kutoa huduma kwa wafanyabiashara. Hayo yamebainishwa Januari,21,2026 na Kamishna wa Kodi za Ndani, Alfred Mlegi kwenye ufunguzi wa mafunzo ya Mfumo…

Read More

Job asimulia mazito Ivory Coast

BEKI wa Taifa Stars, Dickson Job amesimulia mazito juu ya majeraha yake wakati alipotolewa kwenye mchezo wa timu hiyo dhidi ya Guinea, huku akiwatoa hofu mashabiki wa Yanga anayoitumikia. Job aliumia dakika ya tisa ya mchezo huo baada ya kugongana na kiungo wa Guinea na kulazimika kutolewa dakika ya 11 nafasi yake ikichukuliwa na Bakari…

Read More