DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIHIMIZA MAKUNDI YAVUNJWE CCM İLİ KUWA WAMOJA“ TUSIISHIWE POWER”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mafinga MWENYEKIITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho katika Uchaguzi mkuu mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuvunja makundi na iwawe wamoja ili wasiishie Power kama walivyo wengine. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za Urais kuelekea Oktoba 29,2025 uliofanyika Mafinga…

Read More

Kamati ya bunge yahimiza kasi maboresho bandari ya Tanga

📍Yasifu uwekezaji wa shilingi bilioni 429 NA MASHAKA MHANDO, Tanga Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiashauri Serikali kuongeza kasi ya utatuzi wa changamoto za miundombinu wezeshi katika Bandari ya Tanga, ili kuendana na kasi ya ongezeko la shehena na meli kubwa zinazoingia bandarini hapo kufuatia maboresho makubwa yaliyofanyika. Ushauri huo umetolewa Leo Machi…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa azindua ombi kuu la kibinadamu kutoka Lebanon iliyokumbwa na vita – Masuala ya Ulimwenguni

“Niko hapa kwa ziara ya mshikamano na watu wa Lebanon,” alisema alisema. “Mshikamano wa maneno lazima uendane na mshikamano katika vitendo. Msaada huu unahitajika haraka. Ongezeko la kijeshi katika eneo lote linaleta madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na Lebanon. Katikati ya mzozo unaoendelea wa Mashariki ya Kati, mamia ya raia wameuawa – ikiwa ni pamoja…

Read More

Lwakatare: Uamuzi wa Msajili umetenda haki CUF

Dar es Salaam. Makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wamesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wa kubatilisha uchaguzi wa ndani ya chama hicho, uliofanyika Desemba 18, 2024, umetenda haki kwa wanachama na wote waliogombea. Uchaguzi huo uliomweka madarakani Profesa Lipumba na wenzake watano, ulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa makada wengine…

Read More

Meridianbet kukupa Burudani Ya Kipekee Kupitia Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri kupitia utambulisho wa Meridian Bonanza. Hii ni burudani mpya kabisa ndani ya kasino mtandaoni iliyoundwa kwa kutumia teknolojia na ubunifu wa hali ya juu. Meridian Bonanza inawafanya washiriki wajihisi kuwepo kwenye eneo la kasino halisi ilhali wanatumia simu au kompyuta kucheza. Upekee wa mchezo huu…

Read More

Barker ataja sababu za kumuweka benchi Mpanzu

LICHA ya Elie Mpanzu kuonekana kupoteza nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza cha Simba kufuatia ujio wa Anicet Oura na Libasse Gueye, kocha wa timu hiyo, Steve Barker ameweka wazi kuwa bado ana imani kubwa na Mkongomani huyo, huku pia akitaja sababu ya kumuweka benchi. Mpanzu ambaye kwa kipindi cha karibuni amekuwa akitokea zaidi…

Read More

Kardinali Pengo alivyoumaliza mwendo, kauli za viongozi

Dar es Salaam. Ameumaliza mwendo. Ndivyo inavyoweza kuelezwa hitimisho la safari ya mwisho ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo katika maziko yake yaliyokusanya maelfu ya waombolezaji, wakiwemo viongozi wa kitaifa na wa kidini pamoja na wananchi wa kada mbalimbali. Shughuli hizo zilianza kwa misa takatifu iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es…

Read More