Wanayotaka kusikia kwa Rais Samia

Dar/Mikoani. Rais Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Novemba 14 2025 atalizindua kwa kulihutubia ambapo pamoja na mambo mengine, wananchi watarajia kusikia masuala saba. Masuala hayo ni msimamo wa Serikali kuhusu maandamano yaliyozaa vurugu na vifo wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 na mikakati ya kurejesha hali ya kawaida na kuondoa mgawanyiko,…

Read More

Hali ya haki za binadamu Somalia inatia wasiwasi – DW – 09.05.2024

Katika mkutano na waandishi wa habari, Isha Dyfan ambaye ni mjumbe wa Umoja wa Mataifa ameweka bayana na kuelezea wasiwasi wake kutokana ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Somalia inayokabiliwa na machafuko ya kivita. “Kuhusu hali ya usalama nchini humo, Somalia inazidi kukabiliwa na changamoto si haba. Raia na hasa wanawake na watoto wangali wanaathirika pakubwa kutokana na…

Read More

Zana Endelevu kwa Mashirika Yasiyo ya Faida ya Kiafrika – Masuala ya Ulimwenguni

Kwa kukumbatia ubia sawa, mashirika yasiyo ya faida yanaweza kutumia nguvu ya pamoja ya washikadau mbalimbali, kuhakikisha kwamba kazi yao sio tu inadumu lakini inastawi katika ulimwengu unaozidi kuwa changamano na uliounganishwa. Credit: Pexels Maoni na Angela Umoru David, Tafadzwa Munyaka Jumatatu, Septemba 09, 2024 Inter Press Service Septemba 09 (IPS) – Katika mazingira ya…

Read More

Malijendi wakoshwa na kiwango CHAN

MASHINDANO ya msimu huu ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024) yametajwa kuwa bora zaidi kiushindani na wajumbe wa masuala ya kiufundi ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF TSG) na yameonyesha maendeleo makubwa kuliko yaliyopita. Wajumbe hao, akiwemo Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ethiopia, Abraham Mebratu na mchezaji wa…

Read More

RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SHILINGI TRILIONI 1.028, ATOA WITO KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Mashirika na Taasisi za Umma kuhakikisha yanawajibika ipasavyo katika kulinda na kuendeleza uwekezaji wa Serikali kwenye mashirika hayo, na kuchangia kikamilifu kwenye maendeleo ya kiuchumi. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shaaban Kissu, Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu,…

Read More

Magenge yenye silaha yanapanua udhibiti wao katika Idara ya Kituo cha Haiti – Maswala ya Ulimwenguni

Risasi kubwa ya tovuti hiyo kwa watu waliohamishwa walioshikiliwa katika Shule ya Marie-Jeanne huko Port-au-Prince, ambapo watu 7,000 wanaishi katika hali ya kuzidiwa na ya kukata tamaa, wakitafuta usalama wakati wa vurugu zinazoendelea za silaha huko Haiti. Mikopo: UNICEF/Patrice Noel na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Mei 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Wababe wa Simba na Yanga katikati ya mtego

AL Ahly ya Misri itabeba tena? Hilo ndilo swali  lililopo vichwani mwa mashabiki na wapenzi wa soka Afrika kwa sasa, wakati wakisubiri mechi mbili za fainali za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi hizo zitakazopigwa kati ya Mei 18 na 25 mwaka huu itakutanisha watetezi hao wanaoshikilia taji la 11 dhidi ya mabingwa mara…

Read More