Ujumbe Unaosambaa juu ya M-Koba ni UZUSHI na UONGO

  Vodacom Tanzania na Benki ya TCB wameujulisha umma na wateja wao kwamba ujumbe wa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii unaodai kwamba huduma ya M-Koba inakaribia kufungiwa kutokana na madai ya madeni yasiolipwa kwa Serikali ni wa uongo na uzushi unaokusudia kuleta taharuki kwenye jamii. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Vodacom na…

Read More

Fountain Gate hakuna kulala, warejea kambini

LICHA ya Ligi Bara Kuu kusimama kwa miezi miwili, kikosi cha Fountain Gate kimeamua kurudi mapema kambini kikipanga kuanza Jumamosi kujiweka fiti tayari kwa duru la pili la ligi ya msimu huu. Fountain ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo inatarajia kuingia kambini Januari 11, huku mastaa wa timu hiyo wakitarajia kuanza kuripoti kuanzia kesho,…

Read More