Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha umma kuhusu Bima ya Afya kwa Wote (UHI). Vipindi vya elimu vinafanyika kila siku kwenye maonyesho hayo ili kuwasaidia wananchi kuelewa…

Read More

Ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha wafikia 11%

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema anaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya Fainali za AFCON 2027 ambao hadi sasa umefikia 11% za ujenzi. Msigwa amesema hayo wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa uwanja huo unaojengwa…

Read More

NEEC YAFUNDA MAKUNDI YA AKINAMAMA, VIJANA NA MAKUNDI MAALUM KUWA WABUNIFU KATIKA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi {NEEC} kupitia programa ya Imarisha Uchumi na Mama {SAMIA)imeyataka makundia ya kinamama, vijana na makundi maalum Mkoani Kilimanjaro kuongeza ubunifu katika shughuli za biashara na ujasirimali ili kuweza biashara kubwa na kuwa maisha mazuri katika familia zao. Hayo yalisemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji…

Read More

Maswali matano mwisho wa Inonga Simba

MKATABA wa beki wa Simba, Henock Inonga unamalizika mwisho wa msimu huu. Tayari ameshaitumikia Simba misimu miwili na kuonyesha kiwango bora ingawa kimekuwa kikilalamikiwa na mashabiki wa siku za karibuni. Beki huyo wa zamani wa FC Renaissance na DC Motema Pembe za DR Congo amekuwa akihusishwa pia na timu mbalimbali zikiwamo za Afrika Kaskazini hasa…

Read More

Huyu ndiye amechukua nafasi ya Arafat Haji PBZ

Unguja. Rais wa Zanzibar amemteua Fahad Soud Hamid kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ). Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said na kutumwa kwa vyombo vya habari leo Juni 30, 2025, uteuzi huo unaanza kesho Julai mosi, 2025. “Kabla ya uteuzi huo, Fahad alikuwa Mkurugenzi msaidizi, Idara…

Read More

Dk Nchimbi amkaribisha Mpina akisubiri kesi yake leo

Kisesa. Wakati shauri kupinga kuenguliwa kwa Luhaga Mpina kwenye kinyang’anyiro cha urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, likipangwa kutajwa leo, jina lake limeibuka kwenye kampeni zinazoendelea. Dk Emmanuel Nchimbi, mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, amemtumia ujumbe Mpina akimwomba ampigie kura na arejee kwenye chama hicho tawala. Dk Nchimbi alitoa ujumbe huo jana Septemba…

Read More