Sababu vijana kukwepa kutumia kondomu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ya Tanzania ikihamasisha jamii kutumia kondomu, kama mojawapo ya njia za kujikinga na maradhi yakiwamo ya zinaa, imebainika vijana wengi hawana mwamko wa kutumia kinga. Kukosa elimu, kutojua umuhimu wake, uhaba wa upatikanaji na matumizi ipasavyo ni miongoni mwa changamoto zilizoonekana, kwa vijana wengi walioulizwa sababu ya wao kutotumia kinga….

Read More

Mahakama yamrudisha Mpina INEC | Mwananchi

Dodoma/Dar. Mgombea urais wa Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina ameshinda kesi dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuhusu shauri la maombi ya Kikatiba akipinga kuenguliwa katika mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mpina alienguliwa katika kinyang’anyiro hicho na INEC Agosti 26, 2025, hivyo…

Read More

Vijana Tarime waomba Serikali iboresha mazingira ya kujiajiri

Tarime. Baadhi ya vijana katika Wilaya ya Tarime mkoani Mara wameiomba Serikali kuweka mazingira rafiki kwa vijana waliojiajiri, hususan katika sekta zisizo rasmi, ili waweze kufanya shughuli zao kwa ufanisi na kupunguza changamoto ya ukosefu wa ajira. Vijana hao wamesema licha ya uhaba wa ajira rasmi, wapo ambao wameamua kutumia fursa zilizopo kujiajiri, lakini wamekuwa…

Read More

'Maendeleo ya kihistoria' kwa mchakato wa amani wa Colombia – lakini changamoto zinasalia – Masuala ya Ulimwenguni

Carlos Ruiz Massieu, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu, aliiambia ya Baraza la Usalama kwamba mipango ya hivi majuzi ya Serikali ilionyesha “kuweka upya muhimu” kwa mchakato wa amani. Hizi ni pamoja na mpango wa majibu ya haraka na miradi ya maendeleo, uwekezaji wa umma na huduma. “Ninakaribisha dalili za awali kwamba mpango utazingatia sana mageuzi…

Read More

Marufuku ya majoho ilivyogonga mwamba shuleni

Tumemaliza msimu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, lakini wazazi bado hawajasahau makovu ya gharama za mahafali ya wahitimu, huku suala la majoho kwa wahitimu likizidi kuchukua sura mpya katika mitandao ya kijamii. Badala ya kutumia majoho kwenye mahafali, taasisi nyingine mbali na vyuo vikuu zilienda mbali zaidi kuhamasisha watoto kushona suti, ambazo zilikuwa…

Read More

Chadema, ACT-Wazalendo waibana Serikali | Mwananchi

Dar es Salaam. Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimeibana Serikali, vikitaka hatua kuchukuliwa kushughulikia na kukomesha vitendo vya utekaji au watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema iwapo hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi ya wakuu wa taasisi zinazosimamia ulinzi na usalama wa raia, wafuasi na wanachama wa chama hicho watainga…

Read More