HAMZA TANDIKO AENDELEA KUWASHA MOTO WA KAMPENI MAGANZO

Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Hamza Yusuph Tandiko. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampeni za Uchaguzi Mkuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kushika kasi, ambapo Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Hamza Yusuph Tandiko, ameendelea kunadi Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 akisisitiza kuwa ni…

Read More

Mbeto : ACT kitazusha uongo hakitashinda uchaguzi Zanzibar

Na Mwandishi Maalum , Zanziabr Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema baada ya ACT Wazalendo kuishiwa hoja za kuwaaeleza wananchi kitazua uongo na upotoshaji lakini hakina ubavu wa kushinda urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka CCM kimesisitiza ACT toka sasa hadi oktoba mwaka huu ,viongozi wake watapayuka sana kutokana na haiba iliopo ya ustawi wa…

Read More

Sababu ugonjwa wa ukoma kupungua nchini

Dar es Salaam. Takwimu za wagonjwa wapya wa ukoma hapa nchini Tanzania zinaonyesha ugonjwa huo kupungua kwa kasi ukilinganisha na miaka ya nyuma.  Kwa mujibu wa Wizara ya Afya kiwango cha  wagonjwa wapya kimepungua kutoka wagonjwa 2,297 mwaka 2015 hadi wagonjwa 1,263 mwaka 2024 sawa na punguzo la asilimia 45. Idadi hiyo ni punguzo kutoka…

Read More

Upelelezi kesi ya Kabaisa, wenzake bado

 Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa upelelezi wa kesi ya kusafirisha kilo 332 za heroini na methamphetamine inayomkabili mvuvi Ally Ally (28) maarufu kama Kabaisa na wenzake wanane, bado unaendelea. Wakili wa Serikali Roida Mwakamele ameeleza hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Desemba 31, 2024, wakati kesi hiyo ilipotajwa. Mwakamele ametoa maelezo hayo,…

Read More

Hospitali ya Mount Meru kuwatibu wagonjwa majumbani

Arusha. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, itaanza kutoa huduma ya matibabu kwa kuwafuata nyumbani wenye magonjwa ya muda mrefu, magonjwa sugu kama saratani na wenye changamoto za kiharusi. Huduma hiyo ambayo inatarajia kuanza kutolewa Oktoba mwaka huu, tayari Serikali imewekeza zaidi ya Sh300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa. Mganga Mfawidhi…

Read More

Pacome apewa dakika 20, Yanga ikitinga nusu fainali FA

BAADA ya kukosekana katika michezo saba katika mashindano tofauti sawa na dakika 630, kiungo Pacome Zouzoua amecheza dakika 20 wakati Yanga ikitinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuichapa mabao 3-0  Tabora United  kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Pacome ambaye alipata majeraha katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, Machi…

Read More