Nani Kukupatia Mzigo wa Maana Leo?
KAMA kawaida kila siku kuna mechi kibao za ushindi zinapigwa kwenye Mataifa mbalimbali, mechi za michuano kibao kuendelea leo. Meridianbet inakukaribisha utengeneze jamvi lako sasa. Mechi za kufuzu CONFERENCE LEAGUE zinaendelea siku ya leo FSV Mainz 05 atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Rosenborg BK kutoka kule Norway huku wakipewa ODDS 3.80 kushinda mechi hii ya…