TMA yatabiri mafuriko na maporomoko mikoa 14, imo Dar

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema maeneo yanayopata mvua za chini ya wastani hadi juu ya wastani yanatarajiwa kuwa na matukio ya hali mbaya ya hewa, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. TMA imesema vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi, yanayoweza kusababisha…

Read More

Kamwe, Mazanzala wapelekwa kamati ya maadili TFF

 Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania iliyoketi Dar es Salaam Jumatano, Februari 12, 2025  imetembeza rungu kwa Pamba Jiji FC huku ikimpeleka katika kamati ya maadili ofisa habari wa Yanga, Ally Kamwe. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo, Februari 24, 2025 imeeleza kuwa Pamba…

Read More

WASIRA:MCHAWI WA CHADEMA NI CHADEMA WENYEWE

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kinachoitafuna CHADEMA kwa sasa ni matokeo ya misuguano iliyotokana na uchaguzi wa kupata viongozi wa juu wa chama hicho uliogubikwa na lugha za matusi na kukashfiana. Ameeleza hayo alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichohusisha viongozi wa CCM Wilaya ya Nyasa, katika mji wa Mbamba Bay…

Read More

Alichozungumza Papa Leo XIV na Zelensky

Vatican. Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Leo XIV amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ikiwa ni simu ya kwanza kuzungumza na kiongozi wa kitaifa tangu achaguliwe katika wadhifa huo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Jumatatu Mei 12, 2025, Papa Leo na Zelensky wamezungumzia mapendekezo ya usitishaji mapigano na malumbano kati…

Read More

Kampeni nyumba kwa nyumba zazua mjadala

Dar es Salaam. Kipindi rasmi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kilianza Agosti 28, 2025 na kinatarajiwa kumalizika Oktoba 28, 2025 kikiashiria miezi miwili ya shughuli nyingi za kisiasa kote nchini. Kutoka mitaa yenye pilikapilika ya mijini hadi vijijini bado hali ni tulivu, wagombea na wafuasi wao wamekuwa wakizunguka nyumba kwa nyumba wakizungumza…

Read More

BALOZI DKT. NCHIMBI AAGANA NA SIMIYU KWA KISHINDO AKIELEKEA SHINYANGA KUSAKA KURA ZA USHINDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho wa Kampeni mkoani Simiyu. Katika mkutano huo wa kampeni,Balozi Dk.Emmanuel Nchimbi aliwanadi Wabunge wa Mkoa…

Read More