Viongozi wa Umoja wa Mataifa, Wanadiplomasia Waonya Kukosekana kwa Uthabiti kwa Mashariki ya Kati Kufuatia Mashambulio ya Anga ya Wikendi nchini Iran – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António Guterres akihudhuria mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu hali ya Mashariki ya Kati. Credit: UN Photo/Eskinder Debebe. na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumatatu, Machi 02, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 2 (IPS) – Maŕekani na Israel zilianzisha mashambulizi ya pamoja ya kijeshi dhidi ya Iŕan Febŕuaŕi 28. Iran…

Read More

SERIKALI, WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA KUHAKIKI MPANGO WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI

* Huku Nchi za Afrika zikitakiwa kufanya biashara za pamoja, Wananchi waitwa kutoa maoni… Na Leandra Gabriel, MMG KATIKA Kuhakikisha biashara, uwekezaji na uchumi wa Nchi unakua Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi na wadau mbalimbali wa Maendeleo wameendelea kujadili, kutoa maoni na mapendekezo yatakayowezesha kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji pamoja na kuiandaa…

Read More

Wanawake wahimizwa kuchangamkia fursa sekta ya usuluhishi

Dar es Salaam. Wakati sekta ya Utatuzi wa Migogoro kwa Njia Mbadala (ADR) ikiendelea kukua kwa kasi duniani ikiwemo Tanzania, wadau wamewataka wanawake kujitokeza na kuchangamkia fursa hiyo kwani bado inatawaliwa zaidi na wanaume. Kwa mujibu wa takwimu za tafiti mbalimbali barani Afrika, asilimia 72 ya wasuluhishi ni wanaume huku wanawake wakiwa ni asilimia 28…

Read More

DKT.SAMIA AHUTUBIA MAELFU WANANCHI ZANZIBAR,AAHIDI KITUO CHA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA MUUNGANO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa sasa umeimarika na umekuwa wa udugu wa damu  huku akiahidi Serikali kwenda kuanzisha kituo cha kumbukumbu na nyaraka za muungano. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Kusini Unguja leo Septemba 17,2025 pamoja…

Read More

Kazi ipo nusu fainali ligi ya Kikapu Dar

UTAMU wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) umehamia katika nusu fainali ya ligi hiyo. Inaonyesha kila mchezo utakaochezwa utakuwa ni kama fainali. Hiyo imetokana na uwezo mkubwa ulioonyeshwa na timu hizo katika ligi hiyo, na ugumu wa nusu fainali utakaotokea ni kutokana na kila timu kuhitaji kushinda ili iweze kucheza fainali….

Read More