PROFESA MKUMBO APONGEZA MASHINDANO YA YST, AGUSIA YANAVYOTATUA CHANGAMOTO

  Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewapongeza wanafunzi walioshinda katika mashindano ya wanasayansi vijana marufu Young Scientists Tanzania (YST) kwani yanasaidia kupata teknolojia ambazo zitatumika kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa   utoaji wa tuzo kwa washindi wa YST Profesa Mkumbo…

Read More

Tanzania yafanikiwa Kuzuia Asilimia 86 ya Uzalishaji wa Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kijaji amesema Tanzania imefanikiwa kuzuia tani 216 sawa na asilimia 86 ya uzalishaji wa kemikali hatari kwa tabaka la ozoni ambazo zingeingia nchini na kuleta madhara. Amesema mafanikio hayo yamekuja kutokana na Tanzania kuungana na nchi zingine duniani kuridhia na kusaini Itifaki…

Read More

Tambo za Fyatu Mfyatuzi kwa watekaji

Nikiwa kwenye basi naelekea zangu home, si zikaja njemba saba hivi zikiwa na defender uchwara yenye nambari fiche. Bila hili wala lile, si zikaniamuru nishuke ziniteke. Weee! Nilijiinua kwenye siti na kupiga samasoti za ki-Bruce Lee na kupaa hewani usiambiwe. Bila kufanya ajizi, nilichomoa pingu zangu na kusema “mnarekodiwa na kurushwa mtandaoni live.” Kabla ya…

Read More

LENGO LA SERIKALI NI KUBORESHA MAISHA YA KILA MWANANCHI TARAFA YA NGORONGORO-NCAA

Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa ina lengo la kuboresha maisha ya wananchi wa tarafa hiyo kwa kuwaelimisha na kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kuhama kwa hiyari kwenda Kijiji cha Msomera Handeni Mkoani Tanga na maeneo mengine nchini. Akizungumza na wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kwa nyakati tofauti katika zoezi la uelimishaji, uhamaishaji…

Read More