KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YANOLEWA

Na Mwandishi wetu- Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imelipongeza Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kuendelea kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhakikisha kunakuwa na ushiriki wa Wananchi katika shughuli za uchumi na kujiletea maendeleo. Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Florent Kyombo wakati…

Read More

Jaji ataja sababu hukumu kesi ya Milembe kuahirishwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji ya Milembe Suleman iliyotarajiwa kutolewa leo, Agosti 26, 2024, imeahirishwa na sasa itasomwa kesho, Agosti 27, 2024, saa tatu asubuhi. Sababu zilizotajwa za kuahirishwa kwa hukumu hiyo ni urefu wa kesi, wingi wa mashahidi, pamoja na mchakato wa utafutaji wa haki kwa pande zote mbili. Jaji mfawidhi wa Mahakama…

Read More

Singida Black Stars yaanza na moto  Ligi Kuu Bara

Singida Black Stars imeanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya kuikaribisha na kipigo kizito, KenGold iliyopanda daraja kwa kuinyuka mabao 3-1 katika pambano tamu lililopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa. KenGold iliyopanda daraja sambamba na Pamba Jiji kutoka Ligi ya Championship, ilikumbana na kipigo hicho licha ya kucheza kwa dakika…

Read More

Mkuu wa Wilaya Mbozi afariki dunia

Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) mkoani Kilimanjaro…

Read More

Yanga v TRA United ni mechi ya kisasi

HATUA ya makundi katika Kombe la Mapinduzi 2026, inahitimishwa leo kwa kupigwa mechi moja matata sana pale New Amaan Complex kuanzia saa 2:15 usiku ambapo itakuwa Yanga dhidi ya TRA United. Hii inakumbushia wanavyopeana ushindani wa Ligi Kuu Bara na sasa wanahamishia Kombe la Mapinduzi ikiwa ni mechi ya kundi C. Ni mechi ambayo imeshikilia…

Read More

LISSU AGOMA KUSIKILIZA KESI YAKE KWA NJIA YA MTANDAO.

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amegoma kusomewa maelezo ya awali katika kesi kusambaza taarifa za uongo mtandaoni kwa njia ya mtandao ‘video conference’. kutokea katika Gereza la Ukonga alipo. Kesi hiyo imesikilizwa leo Aprili 24,2025 kwa njia ya mtandao ambapo Upande wa Jamhuri kupitia Wakili wa Serikali Mwandamizi, Job Mrema…

Read More