IGP Wambura: Tumejipanga kuimarisha usalama siku ya uchaguzi

Kilombero. Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, Jeshi la Polisi nchini limejipanga kuimarisha usalama na utulivu siku ya uchaguzi, ili wananchi washiriki katika upigaji kura ikiwa ni sehemu ya kutimiza haki yao ya kikatiba. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Jeshi hilo (IGP), Camilius Wambura alipokuwa katika hafla ya utoaji…

Read More

Yanga, Aziz KI kuna jambo, wakala afunguka

MABOSI wa klabu ya Yanga, inadaiwa wameanza hesabu mapema za kutafuta mrithi wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephaine Aziz KI anayetajwa huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu wa 2024/25 baada ya kuitumikia timu hiyo ya Wananchi kwa misimu mitatu yenye mafanikio. Kwa mujibu wa taarifa zilizotua mezani mwa Mwanaspoti, inaelezwa mwanzoni mwa msimu huu,…

Read More

Namba 20 zinakupa ushindi kasino ya Extra Bingo!!

Hapa tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya michezo pendwa inayopatikana Meridianbet. Extra Bingo ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na gwiji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Wazdan. Je, umechoka kusubiri mpaka kipindi fulani ili kupata droo inayofuata? Kuanzia…

Read More

Trump kutimua wahamiaji Wakenya 30,000 Marekani?

Washington. Zaidi ya Wakenya 30,000 wanaoishi nchini Marekani bila vibali halali wanakabiliwa na hatari ya kufukuzwa, kutokana na mipango ya utawala wa Rais mteule Donald Trump kuimarisha usalama wa mipaka na kuchukua hatua kali dhidi ya wahamiaji haramu. Kwa mujibu wa taarifa za kituo cha televisheni cha NDTV cha India, Trump amedhamiria kutangaza hali ya…

Read More

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mweli Ashiriki Mkutano wa 138 wa Baraza la Kahawa Duniani

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli ameshiriki katika Mkutano wa 138 wa Baraza la Kahawa Duniani (International Coffee Council) unaofanyika jijini London kuanzia tarehe 10-12 Septemba 2024. Katika mkutano huo, Viongozi wa nchi mbalimbali wanajadili masuala yanayolenga kuboresha tasnia ya kahawa kimataifa, ikiwemo mikakati ya kukabiliana na changamoto zinazokabili tasnia hiyo. Aidha,…

Read More

Usaliti, fitna vyaundiwa mkakati UVCCM

Moshi/Shinyanga. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo. Pia umewasisitiza kuzingatia maadili, uadilifu na kudumisha umoja na mshikamano huku ukisema CCM lazima ishinde katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kuendelee kutatua shida na changamoto…

Read More