MAAFISA UNUNUZI WA UMMA WAASWA KUFUATA SHERIA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Kiseo Yusuf Nzowa, akifungua Mkutano wa Kanda ya Kaskazini uliyofanyika mkoani Kilimanjaro, kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura No. 410, Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Sura No 103 na matumizi ya Takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mkutano huo…

Read More

Dabi ya Kariakoo yawaibua wabunge, wataka uwazi

Wabunge wameishukia Wizara ya Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo wakitaka itoe majibu ya kina katika mambo matatu likiwemo la kuifanya Bodi ya Ligi (TPLB) ijitegemee badala ya kuwa chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Mengine ni kutaka uwazi wa nini kinachoendelea kuhusu mazungumzo ya viongozi wa Timu za Simba na Yanga pamoja na…

Read More

ABOOD AIPONGEZA POLISI KWA KURATIBU MAFUNZO YA UDEREVA

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro mjini, Abdul Azizi Abood amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kitengo cha usalama barabarani kwa kuratibu mafunzo ya udereva wa pikipiki na bajaji kwa vijana wasio na leseni katika Manispaa hiyo Abood ametoa pongezi hizo leo Februari 11, 2025 wakati wa zoezi la utoaji vyeti lililofanyika katika ukumbi wa…

Read More

Bandari Dar na rekodi ya kuhudumia meli kubwa

Dar es Salaam. Baada ya mageuzi ya huduma yaliyochochea ufanisi katika uendeshaji wa bandari, hatimaye Bandari ya Dar es Salaam imeanza kupokea na kuhudumia meli kubwa zenye urefu wa hadi mita 300. Hatua hiyo inakuja baada ya uwekezaji katika sekta ya bandari uliolenga kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kituo kikuu cha kuhudumia shehena…

Read More

TCRA YAWAFUNDA BLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Mwandishi Wetu WAZALISHAJI wa Maudhui Mtandaoni,jana wameaswa kutotoa taarifa ambazo zitaleta taharuki na machafuko ndani ya nchi hasa katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao fanyika baadaye mwaka huu (2025). Yamesemwa hayo jana tarehe 3,Agosti 2025 na Meneja Kitengo cha Huduma za Utangazaji,TCRA, Injinia Andrew Kisaka wakati akiwasilisha…

Read More

Mashabiki Simba waiganda ‘Thank you’ ya Jobe

Akufukuzae hakuambii toka. Ndiyo msemo unaoweza kuutumia kwa mshambuliaji wa Simba, Pa Omar Jobe, ambaye mashabiki wa klabu hiyo wameonyesha kiu kubwa ya kutamani kuona anaachwa. Simba wiki hii, imeanza kuwaaga wachezaji wake ambao hawatawahitaji msimu ujao, ikiwa tayari imeshawaaga wawili, aliyekuwa nahodha wake mshambuliaji John Bocco, Jumatatu Juni 17 na leo ikimuaga kiungo mshambuliaji…

Read More