JAJI MASAJU ATEULIWA KUWA JAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANI

 …….. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Kwa mujibu wa Taarifa ambayo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka imeeleza kuwa Msaju anachukia nafasi ya Profesa Ibrahim Juma ambaye amestaafua. Aidha imeeleza…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tukapige kura kwa amani

Leo ndio siku ile ambayo Watanzania tulikuwa tukiisubiri kwa hamu kubwa. Siku yetu ya kushiriki kidemokrasia uchaguzi wa viongozi wetu watakaotupeleka kwenye hali bora zaidi ya huko tulikotoka. Tukio kama la leo lilifanyika miaka mitano iliyopita, na litakuja kujirudia miaka mitano inayokuja. Wengi tumelisubiri kwa hamu kama wana wa Israel walivyokuwa wakimsubiri masihi kwa kufuatia…

Read More

Muujiza mtoto aliyenusurika baada ya kupigwa risasi ya kichwa

Palestina. Unaweza kusema ni muujiza, miongoni mwa maelfu waliouawa Gaza, mtoto wa Kipalestina, Lana Al-Basous amepigwa risasi kichwani lakini risasi hiyo haijamuua wala kumtoa damu. Lana kutoka Gaza, amenusurika kwa njia ya kushangaza baada ya kupigwa risasi iliyorushwa na drone ya Israel, ambapo risasi hiyo ilisimama kati ya fuvu lake na nywele bila kuvunja mfupa…

Read More