Naibu Waziri Mkama Ahimiza Ushirikiano na Uwajibikaji kazini
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Mtumba, Dodoma Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb.), amewatak Watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuimarisha ushirikiano kati ya wafanyakazi na Menejimenti ili kuhakikisha haki, motisha na tija vinatimizwa. Amebainisha hayo tarehe 24 Februari, 2026 wakati akifungua Mkutano wa Baraza…