JKU inautaka ubingwa Muungano | Mwanaspoti

JKU kutoka Unguja imetinga fainali ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Azam mabao 2-1, huku kocha wa timu hiyo, Haji Ali Nuhu akisema wanataka kubeba ubingwa. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo alisema ushindi dhidi ya Azam ni mkakati waliojiwekea ili kutinga fainali. Alisema ingawa mchezo unaofuata wa fainali utakuwa mgumu zaidi, lakini kutokana na…

Read More

Minziro akomaa na Mpole, ataja kinachomsumbua

KIU ya mashabiki wa Pamba Jiji ni kumuona mshambuliaji, George Mpole akitupia mabao kama walivyomzoea. Kilio hicho kimemfikia Kocha Mkuu Fredy Felix ‘Minziro’ aliyeweka ahadi nzito ya kufufua makali ya nyota huyo huku akitaja kinachomsumbua kwa sasa. Mpole aliyeibuka kinara wa mabao Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/2022 akitupia 17 mbele ya Fiston Mayele wa…

Read More

MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA YAFANIKISHA KAYA MASIKINI 400,000 KUONDOLEWA TASAF

Na Mwandishi Wetu MIAKA minne ya serikali ya awamu ya sita madarakani Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF),kupitia Mpango wa kunusuru kaya maskini umefanikiwa kuhitimisha kaya za walengwa takribani 400,000 nchi nzima baada ya kuhudumiwa kwa takribani miaka 10. Hilo limefanikiwa kutokana na utekelezaji wa afua mbalimbali ambapo zimeboresha maisha,kuongeza rasilimali na zinaweza kuendelea kuendesha maisha…

Read More

SERIKALI KUTAMBUA MCHANGO WA VIJANA WANAOJITOLEA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amesema kuwa Serikali inaandaa utaratibu rasmi wa kutambua mchango wa vijana wanaojitolea kwenye taasisi mbalimbali za serikali. Sangu ametoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti alipokuwa akizungumza katika mikutano ya hadhara iliyofanyika katika Kata ya Ikozi na Kalambanzite, Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Mtandao wa kuomba ajira Polisi walalamikiwa haufunguki

Dodoma. Wakati siku ya mwisho ya maombi ya kazi kwenye Jeshi la Polisi ni Jumanne ya Mei 21, 2024, waombaji wengi wamelalamikia mtandao wa jeshi hilo kutofunguka. Malalamiko hayo yametolewa na watu mbalimbali huku wengine wakishauri jeshi hilo liruhusu barua za maombi zipelekwe kwa mkono kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya. Malalamiko ya…

Read More

JESHI LA POLISI PWANI LAMKAMATA MTUHUMIWA ALIYESAMBAZA PICHA CHAFU ZA UTUPU AKIHUSISHA SHULE YA BAOBAB

    Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshilia mtuhumiwa mmoja aliyetengeneza na kusambaza picha chafu za utupu, akiziunganisha na picha mbalimbali za Shule ya Baobab iliyopo mkoani Pwani.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishina Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, alizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake na kusema kwamba…

Read More