NCHIMBI AHITIMISHA KAGERA MKUTANO MKUBWA MULEBA

-Wapinzani wazidi kupukutika wakirejea CCM Maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Muleba wakiwa wamejitokeza na kukusanyika kwenye Uwanja wa Fatuma, Muleba mjini, Mkoa wa Kagera, leo Jumapili 11 Agosti 2024, kwa ajili ya kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, wakati akihitimisha ziara yake…

Read More

Bares ajivunia mabeki Mashujaa | Mwanaspoti

Kocha Mkuu wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema alikiandaa kikosi chake kuvuna pointi tatu dhidi ya Azam FC, lakini moja waliyoipata ni uzembe wa washambuliaji. Mashujaa imecheza mechi tano ikishinda mbili dhidi ya Dodoma Jiji kwa bao 1-0, Coastal Union 1-0, sare tatu dhidi ya Azam, Tanzania Prisons 0-0 na Pamba Jiji 2-2. Amesema mchezo…

Read More

Makosa yanayoweza kukuweka matatani wakati wa uchaguzi

Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakijiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, mwaka huu, wanapaswa kutambua kuwa yapo makosa yakifanyika yanaweza kusababisha mtu kushtakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za uchaguzi. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo, mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo ataharibu orodha ya wapigakura au nyaraka…

Read More