DKT. MWAMBA ATOA MAELEKEZO KUHUSU UHUISHAJI WA MIPANGO MIKAKATI KWA KUENDANA NA DIRA 2050
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Elmaamry Mwamba akizungumza katika kikao cha mafunzo ya Mfumo wa Uandaaji na Usimamizi wa Bajeti (CBMS) ulioboreshwa, kufanya Tathmini ya Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2024/25 na Maandalizi ya Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2025/26, jijini Dodoma ambapo aliwaagiza washiriki wa kikao hicho kuhakikisha mipango na…