Heri ya Ramadhani Yaja Na Msaada wa Vyakula Kutoka Meridianbet

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Katika kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa vitendo, Meridianbet imeleta tabasamu kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu ya nyumbani kwa familia zenye uhitaji. Msaada huo umefika katika kipindi hiki ili kuwasaidia waumini na wananchi wengine kuendelea kufunga mwezi wa Ramadhani kwa…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 1,000 kupelekwa India, China, Malaysia na Uturuki wakiwa Mabalozi wa Utalii na Uwekezaji wa Tanzania”

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi na imeanza kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kuwatumia wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kutangaza utalii. Hayo yalisemwa jana jijjini Dar es Saaalaam na Mkurugenzi Mkuu wa (GEL),…

Read More

MDM yaita wenye makovu kwenye njia ya mkojo

Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Dk Mathias Kimolo ambaye ni daktari bingwa…

Read More

Tabora United yatangulia nusu fainali kwa kishindo

USHINDI wa mabao 4-0 ilioupata Tabora United dhidi ya Eagle FC, umeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Tabora United imetinga nusu fainali kufuatia kukusanya pointi sita kwenye Kundi A lenye timu tatu baada ya kushinda mechi zote mbili. Katika mchezo uliofanyika leo Septemba 2, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite…

Read More

Waislam wa Ahmadiyya kuliombea Taifa amani

Dar es Salaam. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imesema itafanya mkutano mkuu wenye lengo la kuchochea upendo miongoni mwa waumini na kuongeza huruma, unyenyekevu baina yao. Mkutano huo wa 54 wa mwaka (Jalsa Salana) utafanyika Septemba 26 hadi 28, 2025 katika viwanja vyao vilivyopo Kitonga, Kata ya Msongola, Manispaa ya Ilala, jijini Dar es…

Read More