HATUUZI DHAHABU KUFADHILI MIRADI YA SERIKALI : BOT

:::::::::: Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizania ya akiba ya fedha za kigeni na siyo kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari uliofanyika katika ofisi za BoT jijini Dar…

Read More

DKT. KIJAJI AKUTANA NA SEKRETARIETI YA LATF

……….. Na Sixmund Begashe, Arusha Raisi wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusala, ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amewaagiza watendaji wa Mkataba wa Lusaka (LATF) kuhakikisha idadi ya wanachama inaongezeka wakati wa kipindi cha uongozi wake ili kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu…

Read More

Mkakati wa kuboresha miundombinu ya Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara utakaorahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza pato la Taifa. Mpango huo unaoitwa ‘Expressways Master Plan’ umeanza kutekelezwa na wataalamu wazalendo wa Tanzania kwa ushirikiano na wenzao kutoka Korea Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read More

UWEKEZAJI WA SAMIA KWENYE SAYANSI NAENDELEA: WANAFUNZI 16 KUSOMEA DATA SCIENCE NA AI AFRIKA KUSINI

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza utekelezaji kwa vitendo wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia, baada ya kuwaaga wanafunzi 16 waliopata ufadhili wa masomo ya juu nje ya nchi kupitia mpango wa ‘Samia Scholarship’ Wanafunzi hao wanaelekea katika Chuo Kikuu…

Read More