HATUUZI DHAHABU KUFADHILI MIRADI YA SERIKALI : BOT
:::::::::: Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizania ya akiba ya fedha za kigeni na siyo kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari uliofanyika katika ofisi za BoT jijini Dar…