Serikali Yatangaza Nafasi 158 za Kazi Katika Taasisi Mbali Mbali za Umma
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa, wenye ufanisi, wanaojituma, waadilifu, wenye ari na sifa stahiki kujitokeza kuomba nafasi mia moja hamsini na nane (158) za kazi zilizoainishwa hapa chini. Shirika la Posta Tanzania (TPC), Ofisi ya Viwango Tanzania (TBS), Chuo Kikuu cha…