Gavana aliyegoma kufutwa kazi amburuta Trump mahakamani
New York. Gavana wa Benki Kuu ya Marekani, Lisa Cook amemshitaki Rais Donald Trump, baada ya kutangaza kumfuta kazi. Tangu aingie madarakani muhula wa pili, Rais Trump amekuwa na utaratibu wa kuwafuta kazi watumishi tangu alipoingia madarakani mapema mwaka huu. Alimfukuza kazi Gwynne Wilcox, mwanamke wa kwanza Mweusi kuketi katika Bodi ya Kitaifa ya Mahusiano…