Watoa mbinu kuongeza watalii kutoka maeneo mapya

Unguja. Wakati wageni 82,750 wameingia Zanzibar Februari ikiwa ni sawa na upungufu wa asilimia 1.6 ikilinganishwa na walioingia visiwani humo Januari mwaka huu, sekta husika zimeshauriwa kuongeza vivutio na kuitangaza Zanzibar katika mataifa ambayo hayajavutika kuitembelea. Mtakwimu kitengo cha takwimu za utalii kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Fatma Hilali amesema…

Read More

Dk Nchimbi akerwa na kauli za chuki kwa upinzani

Dar es Salaam. Kauli na nyimbo mbaya kwa upinzani, za kibaguzi na matendo yenye taswira yanayoweza kutafsiriwa kuwa ni kushabikia ukandamizaji wa haki za wananchi zimeendelea kumkera Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi. Ikiwa ni kwa mara ya tatu, jana Dk Nchimbi akiwa Shirati wilayani Tarime akiendelea na ziara ya siku…

Read More

Simulizi ya eneo alikofia mkurugenzi Tanesco

Bunda. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo amesema chanzo cha ajali iliyokatisha uhai wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo- Hanga ni dereva wa gari lake kumkwepa mwendesha baiskeli kisha kupoteza mwelekeo na kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa mbele yao. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule…

Read More

CP Kaganda atoa uzoefu wake masuala ya polisi jamii Marekani pamoja na nchi alizohudumu kulinda amani, washiriki waipokea mbinu hiyo.

Ikiwa ni mwendelezo wa mafunzo kwa askari wa kike na wasikamizi wa sheria duniani yanayoendelea Chicago Nchini Marekani suala la Uzoefu katika Masuala ya Polisi Jamii nalolikatolewa na kamishna wa Polisi Utawala na menejimenti ya rasilimali watu katika maeneo aliyohudumu akiwa Mkuu wa Operesheni Abyei Sudan kusini. CP Suzan Kaganda ametoa uzoefu huo Nchini humo…

Read More

Mambo matano kuimarisha uhuru wa wanataaluma Afrika

Dar es Salaam. Wanazuoni wameainisha mambo matano muhimu yanayopaswa kuzingatiwa ili kufanikisha upatikanaji wa uhuru kamili wa kitaaluma kwa wasomi na taasisi za elimu ya juu barani Afrika. Mambo hayo waliyoyabainisha ni pamoja na matumizi ya lugha ya kufundishia inayoeleweka vyema, mamlaka kukubali kukosolewa, mazingira huru ya utawala kwa vyuo vikuu, ufadhili huru na wazi,…

Read More

Kiungo wa Spurs, amwagia sifa Diarra

KIUNGO mkabaji nyota anayekipiga Tottenham Hotspur iliyopo Ligi Kuu England (EPL), Yves Bissouma amesema kipa wa Yanga, Djigui Diarra ni kipa bora kwa sasa duniani. Diarra na timu yake ya Mali imefuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco. Ikumbukwe Diarra mbali na kuwa kipa tegemeo katika kikosi cha Yanga, lakini hata kwenye…

Read More

Wahamasishwa usafi wa fukwe, ufanyaji mazoezi

Dar es Salaam. Wakati Serikali kwa kushirikiana na wadau wa mazingira wakiendelea na juhudi za kuweka mazingira safi ya fukwe za bahari ya Hindi wale wenye tabia ya uchafuzi wa fukwe hizo wametakiwa kuacha mara moja. Ikumbukwe kulinda afya ya viumbe hai wa bahari na mifumo ya ikolojia, kudumisha sekta ya utalii na uchumi wa…

Read More

Serikali yahamisha mali za Kiwanda cha Chai Mponde

Dodoma. Uwekezaji wa Sh4.05 bilioni utakaofanywa na Serikali katika Kiwanda cha Chai cha Mponde kilichopo mkoani Tanga, unatarajiwa kutoa soko kwa wakulima kwa kuchakata majani kilo milioni 5.8 kwa mwaka. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 9, 2024 na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu wakati wa kusaini mkataba  wa wanahisa na mikataba ya uhamishaji wa mali…

Read More