Stanbic Bank Tanzania na Vodacom Tanzania Wasaini Ushirikiano wa Miaka Mitatu Kusaidia Msafara wa Baiskeli za Twende Butiama

 Dar es Salaam, Tanzania – 19 Juni 2025 Stanbic Bank Tanzania na Vodacom Tanzania leo wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) ya kihistoria ya miaka mitatu ili kusaidia Twende Butiama Cycling Tour — kampeni ya kitaifa inayochanganya michezo, uendelevu wa mazingira, na maendeleo ya kijamii. Kupitia ushirikiano huu, Stanbic Bank imejitolea kuchangia TZS milioni 300 ndani…

Read More

Dereva wa basi la Samwel Coach chupuchupu jela miezi sita

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu dereva wa basi la Samwel Coach, Juma Rajabu kulipa faini ya Sh500,000 au kutumikia kifungo cha miezi sita jela, baada ya kupatikana na hatia ya kumzuia ofisa uhamiaji Daudi Kasanzu kutekeleza majukumu yake. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne, Julai 16, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Gwantwa…

Read More

WHO yapunguza nusu ya wafanyakazi

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limepunguza nusu ya timu yake ya usimamizi na italazimika kupunguza shughuli zake baada ya Marekani kutangaza inaondoka katika shirika hilo na kusitisha ufadhili. Pamoja na uamuzi huo, WHO inakusudia kufunga baadhi ya ofisi zake katika nchi zenye kipato cha juu. Taarifa iliyotolewa jana Jumatano, Mei 14, 2025…

Read More

ishu ya Fadlu kuondoka iko hivi

BAADA ya dabi kumalizika na Simba kupoteza kwa mara ya sita mfululizo mbele ya Yanga, mjadala mkubwa kwa sasa ni kocha wa Wekundu wa Msimbazi, Fadlu Davids ikielezwa yupo mbioni kupigwa chini, lakini kumbe ukweli wa mambo wala sivyo ulivyo kama ilivyosambaa mtandaoni. Tangu jana jioni kumekuwa na taarifa kwamba huenda Fadlu asirejee na kikosi…

Read More

LISSU ATAKA UCHUNGUZI WA KIMATAIFA KUHUSU UHALIFU WA UTEKAJI NA MAUAJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu, ametoa wito kwa serikali kuanzisha uchunguzi wa kimataifa kuhusu matukio ya uhalifu, ikiwemo utekaji na mauaji yanayoripotiwa nchini. Akizungumza katika mahojiano na *JamboTV*, Lissu alieleza kuwa Vyombo vya Usalama nchini haviwezi kuchunguza matukio hayo kwa sababu vinatuhumiwa kuhusika moja kwa moja. “Lini Jeshi la Polisi liliwahi kuchunguza chochote kuhusu…

Read More

Mamlaka ya Serikali Mtandao yatoa Tuzo kwa Taasisi Vinara kwenye utekelezaji wa Serikali Mtandao

MAMLAKA ya Serikali Mtandao kutoa Tuzo Taasisi Vinara kwenye utekelezaji wa Serikali Mtandao mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetoa tuzo kwa Taasisi za Umma zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa Serikali Mtandao ikiwa ni sehemu ya mipango ya Serikali ya kuchochea matumizi TEHAMA Serikalini ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi. Akizungumza wakati wa ugawaji wa Tuzo…

Read More

Maduka 19 ya kuuza mbegu matatani, Morogoro

Morogoro. Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu nchini (TOSCI) imeweka zuio kwenye maduka 19 ya mbegu baada ya kukutwa yakiuza mbegu za mbogamboga zisizokuwa na  lebo iliyotolewa na taasisi hiyo. Hivyo taasisi hiyo imeelekeza kuwa  maduka hayo yasifunguliwe hadi yatakapokidhi vigezo vya uuzaji wa mbegu hizo.Hatua ya kuweka zuio kwenye maduka hayo imekuja leo Juni…

Read More