Mchakato wa kumng’oa Naibu Rais wa Kenya waanza

Nairobi. Mpango wa kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kupitia kura ya kutokuwa na imani naye unazidi kushika kasi, huku baadhi ya wabunge wakisema wameambatisha saini zao kuunga mkono hoja hiyo. Naibu Kiongozi wa Walio Wengi katika Bunge la Kitaifa, Owen Baya alithibitisha jana jioni kuwa ukusanyaji wa saini za wabunge unaendelea na kwamba hoja hiyo…

Read More

NEMC yataja ugumu kuzuia uzalishaji mifuko ya plastiki

Dar es Salaam. Uelewa hafifu kwa jamii juu ya athari za kimazingira na kiafya zitokanazo na matumizi ya vifungashio vya plastiki, ni moja ya sababu zinazotajwa kuchangia kuendelea kuzalishwa kwa siri kwa kuwa wanaangalia upande wa faida pekee. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema changamoto hiyo ni moja ya kikwazo…

Read More

Makalla: Hai msirudie makosa, sumu haionjwi

Hai/Arusha. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewasihi wananchi wa Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro kutorudia makosa ya miaka ya nyuma kwa kuchagua upinzani, akibainisha kuwa tangu jimbo hilo liongozwe na CCM, mafanikio yanaonekana. Makalla ametoa wito huo leo Jumapili Juni 8, 2025, alipowahutubia wananchi wa Bomang’ombe wilayani…

Read More

CEO NMB awafunda Wahitimu ‘Form Four’ Charlotte Sekondari

NA MWANDISHI WETU, MOROGORO KUELEKEA mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne itakayofanyika Novemba 11, 2024, wahitimu wa Shule ya Sekondari Charlotte iliyopo Tungi Mkwajuni, Manispaa ya Morogoro, wametakiwa kumtanguliza Mungu, kuwa na nidhamu, bidii, uadilifu na uaminifu, ili kupata mafanikio zaidi kielimu, kimaisha na kiimani. Wito huo umeetolewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki…

Read More