
Watoa mbinu kuongeza watalii kutoka maeneo mapya
Unguja. Wakati wageni 82,750 wameingia Zanzibar Februari ikiwa ni sawa na upungufu wa asilimia 1.6 ikilinganishwa na walioingia visiwani humo Januari mwaka huu, sekta husika zimeshauriwa kuongeza vivutio na kuitangaza Zanzibar katika mataifa ambayo hayajavutika kuitembelea. Mtakwimu kitengo cha takwimu za utalii kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Fatma Hilali amesema…