Gavana aliyegoma kufutwa kazi amburuta Trump mahakamani

New York. Gavana wa Benki Kuu ya  Marekani, Lisa Cook amemshitaki Rais Donald Trump, baada ya kutangaza kumfuta kazi. Tangu aingie madarakani muhula wa pili, Rais Trump amekuwa na utaratibu wa kuwafuta kazi watumishi tangu alipoingia madarakani mapema mwaka huu. Alimfukuza kazi Gwynne Wilcox, mwanamke wa kwanza Mweusi kuketi katika Bodi ya Kitaifa ya Mahusiano…

Read More

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu. Asidi hii ikizidi, hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo, hali inayosababisha maumivu makali, uvimbe na joto kwenye viungo, hasa vidole vya miguu, magoti na vifundo. Kwa mujibu wa Dkt. Nguyen Anh Duy Tung kutoka Kliniki ya Lishe…

Read More

Rafah kuvuka kufunguliwa tena, ukosefu wa usawa wa kijinsia unazidisha shida ya maji ulimwenguni, watetezi wa haki nchini Colombia – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la Afya Duniani (WHO) na washirika wake waliunga mkono kuhamishwa kwa matibabu kwa wagonjwa tisa watu wazima, wengi wao wakiwa na majeraha ya kiwewe, kwa matibabu ambayo hayapatikani huko Gaza. OCHA alisema wagonjwa 18,000 huko Gaza bado wanahitaji matibabu kwa dharura, wakati timu za Umoja wa Mataifa zinatayarisha msaada kwa watu wanaorejea kupitia Misri….

Read More

Serikali kutafuta ufumbuzi biashara ya samaki

Dodoma. Serikali imeahidi kumaliza vikwazo vyote kwa wafanyabiashara wa mazao ya samaki, ikiwemo wanaosafirisha nje ya nchi ili biashara hiyo ilete tija kwa uchumi wa nchi. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uvuvi nchini, Dk Baraka Sekadende jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na washiriki wa kongamano la tathimini baada ya utafiti kuhusu mazao ya samaki. Warsha…

Read More

CCM yamteua Kirumbe Naibu Katibu Mkuu Wazazi

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini aliyemaliza muda wake, Kirumbe Ng’enda ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ng’enda anaukwaa wadhifa huo, akimrithi Mirumbe Chacha kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa chama hicho. Taarifa ya uteuzi wa Ng’enda inakuja siku moja baada ya jina lake…

Read More

Bado Watatu – 4 | Mwanaspoti

KADHALIKA katika chupa hizo pia kutakuwa na alama zao za vidole kwa vile kila mmoja alikuwa akishika chupa na kujimiminia. Baada ya kuwaza hivyo niliinuka nikaenda pale kando ya meza na kuzitazama zile bilauri bila kuzigusa. Nikahisi kwamba alama zao zilikuwepo. Nikatoa kitambaa kutoka mfukoni mwangu na kumwambia mwenyeji wangu anipatie mfuko ili nitie zile…

Read More

Camara anyoosha mikono, akubali yaishe

SIMBA jana ilikuwa bize na kilele cha tamasha la Simba Day linalotambulisha uzi na kikosi kipya, lakini kuna mmoja wa mastaa waliotakiwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kuwa kipa mpya, Yakoub Seleman, huku Moussa Camara akiimpa maua yake mapema na kumkaribisha. Yakoub aliyesajiliwa Simba…

Read More