Hatima ya Mpina yabaki mikononi mwa majaji kwa siku tatu

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma itatoa uamuzi wake Alhamisi, Septemba 11, 2025, katika kesi inayomhusu aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT–Wazalendo, Luhaga Mpina, dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kesi hiyo ipo mbele ya jopo la majaji watatu, Abdi Kagomba, Evaristo Longopa, na…

Read More

Bali kortin akidaiwa kughushi wosia, akana shtaka

Dar es Salaam. Mkazi wa Pangani mkoani Tanga, Hamisi Bali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja ya kughushi wosia. Bali amesomewa shtaka hilo leo Agosti 28, 2025 na wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube Akimsomewa shtaka, wakili Mafuru amesema Bali anadaiwa kutenda kosa hilo Februari…

Read More

WANANCHI WAHAMASISHWA KUCHAMBUA NA KUREJELEZA TAKA KUELEKEA SIKU YA TAKA SIFURI DUNIANI

………. Dar es Salaam, Machi 20, 2026 Wananchi nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchambua taka ngumu majumbani na katika maeneo yao ya kazi, badala ya kuzitupa ovyo, ili kulinda mazingira na kuongeza thamani ya taka hizo kiuchumi. Wito huo umetolewa na Balozi wa Mazingira wa kujitolea nchini, Moses Mwakibolwa, wakati akizungumza kuelekea maadhimisho ya Siku…

Read More

WATU 9 WAFARIKI DUNIA AJALINI DODOMA

…….. Na Ester Maile, Dodoma  Watu tisa wamefariki Dunia mapema Leo asubuhi katika kijiji cha Kambi ya Nyasa wilaya ya Chemba mkoa.wa Dodoma. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ROSEMARY SENYAMULE amesema watu watano akiwemo dereva wa basi walifariki hapo hapo na wengine wanne wamefariki baada ya kufikishwa hospitalini.  

Read More

Historia inawabeba, Simba katika hili itavuka

KESHOKUTWA Jumapili, Simba itacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Simba itakuwa chini ya kocha mkuu wa mpito, Hemed Morocco ambaye ameazimwa kutoka Taifa Stars ili ainoe Simba kutokana na changamoto ambayo imeikuta hivi…

Read More