Waliovamia hifadhi ya Iluma kuondoka kwa hiari

Ulanga. Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Dk Julius Ningu amesema hatua ya  kuwaondoa wananchi waliovamia eneo la hifadhi ya jamii ya Iluma iliyopo kijiji cha Mbuyuni kata ya Minepa wilayani humo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa bila ya kutumia nguvu kubwa ya vyombo vya dola. Akizungumza na Mwananchi, Dk Ningu amesema kabla ya kutoa agizo la…

Read More

Wanadamu huzindua rufaa ya dola bilioni 33 kwa 2026 – Maswala ya Ulimwenguni

Hii ndio kipaumbele cha haraka cha muhtasari wa dola bilioni 33 za kibinadamu 2026, zilizozinduliwa Jumatatu, ambayo inakusudia kufikia watu milioni 135 kwa jumla katika nchi 50. “Rufaa hii inaweka mahali tunahitaji kuzingatia nishati yetu ya pamoja kwanza: maisha na maisha“Mkuu wa Kibinadamu wa UN Tom Fletcher. Mamilioni wanahitaji GHO iliyosasishwa ifuatavyo mwaka uliowekwa na…

Read More

Meridianbet yagawa mipira kwa Sinza Star FC

  JUMAMOSI ya leo Meridianbet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kusaidia maendeleo ya michezo nchini Tanzania kwa kutoa msaada wa mipira kwa klabu ya Sinza Star FC. Mchango huu unalenga kukuza vipaji vya vijana na kuhamasisha ushiriki wa jamii katika michezo. Akizungumza wakati wa ugawaji wa mipira hiyo, mwakilishi wa Meridianbet alisema, “Tunatambua umuhimu wa…

Read More

Papa Leo akemea viongozi wanaotumia dini kugombanisha Taifa

Vatican. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, amelaani  tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kutumia mamlaka na ushawishi wao kwa waumini kuhalalisha migogoro na migawanyiko ndani ya mataifa yao. Leo, ambaye ni Papa wa kwanza kutoka nchini Marekani, ameyasema hayo kupitia ujumbe wa kurasa nne uliotolewa kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani…

Read More