Dk. Mpango awataka Watanzania kuuombea Muungano wakizingatia falsafa za 4R

Na Nora Damian, Mtanzania Digital-Dodoma Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amewataka Watanzania kujivunia miaka 60 ya Muungano na kuuombea uendelee kudumu huku wakizingatia falsafa za 4R yaani maridhiano, ustahamilivu, mageuzi na kujenga upya. Akizungumza Aprili 22,2024 wakati wa maombi na dua ya kuliombea taifa yaliyofanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma, amesema ni baraka…

Read More

Dk Mpango, Sheikh Ponda wakemea uovu, wasisitiza amani

Dodoma. Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amesema pale kwenye madai kuwa haki haitendeki, wahusika wafuate taratibu za kutoa taarifa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wakati. Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Aprili 22, 2024 Jijini Dodoma kwenye maombi na dua maalumu ya kuliombea Taifa iliyofanyika kwenye Uwanja…

Read More

Ajali yaua 13 Kilwa | Mwananchi

Kilwa. Watu 13 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Somanga Wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi. Akizungumzia ajali hiyo leo Jumatatu Aprili 22, 2024  kwenye eneo la tukio, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori, amesema ajali hiyo imetokea saa 1:30 asubuhi. Amesema gari dogo la abiria aina…

Read More

Manji: Tatizo la Simba ni mtu huyu

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Jumamosi iliyopita alishuhudia mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba na kusema: “Tatizo la Simba ni mtu huyu.” Yanga ikiwa mwenyeji kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, ilifanikiwa kuichapa Simba mabao…

Read More

UKARABATI WA SOKO LA KARIAKOO WAFIKIA ASILIMIA 93

UJENZI wa ukarabati wa Soko la Kariakoo umefikia asilimia 93 kukamilishwa tayari kuwarejesha wafanyabiashara kwenye soko hilo ambapo hadi sasa hatua kadhaa zimeendelea kuchukuliwa ikiwemo utambuzi na uhakiki wa waliokuwa wafanyabiashara kabla ya janga la moto. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 22, 2024 jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la…

Read More

Sugu akubali mdahalo na Msigwa, kila mmoja akitamba

Mbeya. Siku moja baada ya mgombea uenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa kumtaka mpinzani wake, Joseph Mbilinyi “Sugu” kwenye meza ya mdahalo, mpinzani wake huyo amesema yupo tayari wakati wowote. Jana, Jumapili Aprili 21, 2024 akirejesha fomu ya kutetea nafasi yake, Mchungaji Msigwa alimtumia salamu Sugu akimtaka kwenye mdahalo mmoja ili kuulizwa…

Read More