Wengine sita watiania ZEC urais wa Zanzibar

Unguja. Harakati za kusaka Ikulu ya Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano ijayo zimeendelea  kushika kasi, baada ya watiania kutoka vyama mbalimbali kujitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kuwania nafasi ya urais kwa uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Leo , Agosti 31, 2025, wagombea kutoka vyama vya NCCR-Mageuzi,…

Read More

Zombie Apocalypse Na Promosheni Kubwa kwa Wapenzi wa Kasino

KASINO ni burudani, lakini Meridianbet imeamua kugeuza burudani hiyo kuwa sherehe ya kipekee. Ikiwa unatafuta furaha, basi Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins ni tiketi yako ya kuingia kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino kwa ucheshi na zawadi. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wa Meridianbet wanapewa nafasi ya kushinda mizunguko ya bure kwenye mchezo maarufu…

Read More

NI ZAMU YA SONGWE KESHO SEPTEMBA 3, MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe NI zamu ya Songwe kesho Septemba 3,hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea kwani mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mikutano mikubwa ya kampeni mkoani Songwe. Msafara wa Rais Dk. Samia unatarajiwa kuwasili leo kisha kuhutubia maelfu ya wananchi wa katika mikutano yake ya kampeni itakayofanyika…

Read More

Opah tumaini jipya Hispania | Mwanaspoti

SD Eibar ya Ligi ya Wanawake Hispania imeboresha eneo la ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu ikimsajili nyota wa Kitanzania, Opah Clement ambaye ana rekodi nzuri Ulaya. Opah kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu uliopita aliichezea FC Juarez ya Mexico lakini hakuwa na msimu mzuri alicheza mechi sita bila kufunga bao wala asisti. Lakini…

Read More

Usichojua kuota, kung’oka meno ya watoto

Shinyanga. Kuota meno ni kitendo cha meno kuanza kuchomoza kutoka kwenye fizi za mtoto, na ni hatua muhimu katika ukuaji wa mtoto, ambapo umri wa uotaji hutofautiana kati ya mtoto mmoja na mwingine. Hata hivyo, kitendo hicho kwa jamii nyingi kimekuwa kikitazamwa kwa sura na imani tofauti ikiwamo hata ile potofu zenye madhara kiafya Kwa…

Read More

JKT Queens yanyakua ubingwa CECAFA

HATIMAYE JKT Queens imetawazwa kuwa bingwa wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Wanawake baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya. Bao la Winifrida Gerald dakika ya tano akifunga kwa kichwa baada ya kumalizia…

Read More

Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye! – Global Publishers

HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi…

Read More

Video: Maafisa 40 wa Iran Wauawa katika Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments  Katika mashambulizi ya Jumamosi, 28 Februari 2026, yanayodaiwa kufanywa na Israel na Marekani, takriban maafisa 40 waandamizi wa Iran wameripotiwa kufariki. Miongoni mwa waliothibitishwa: Ayatollah Ali Khamenei – Kiongozi Mkuu wa Iran, aliuawa asubuhi katika ofisi yake. Abdolrahim Mousavi – Mkuu wa majeshi ya nchi, aliuawa katika…

Read More

Msifanye ndoa zenu kuwa maabara

Canada. Neno maabara si geni masikioni mwa wengi. Ni mahali pa majaribio, pa kupima nadharia, kutengeneza nyenzo na kuthibitisha uhalali wa jambo kabla halijapelekwa kwenye matumizi halisi. Mara nyingi, maabara huanzishwa kwa lengo maalumu; zikishatimiza kusudi au zikishindwa kufikia malengo, hufungwa. Ni katika taasisi za kisayansi pekee ambapo maabara huendelea kuwapo kwa sababu ya asili…

Read More

Vodacom inavyojivunia mafanikio ya ESG

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza mafanikio yake kupitia mfumo wa jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) unaozinduliwa kesho Jumanne, Agosti 26, 2025, huku ikisisitiza kukuza ujumuishi wa kidijitali na kufanya biashara kwa uwajibikaji. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, inayohudumia wateja milioni 22.6 nchini na zaidi ya milioni 211 barani Afrika,…

Read More