Vifo vya kujiua vyageuka tishio
Dodoma/Dar. Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya kuzuia kujiua duniani, imeelezwa idadi ya wanaojiua nchini inaongezeka, wanaume wakiongoza. Kuokana na hilo, mamlaka zinazohusika zimetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na hali hiyo. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, jitihada kadhaa zinachukuliwa zikiwamo kampeni za uhamasishaji, kuboresha huduma za ushauri katika vituo vya afya na kuanzisha namba…