BILA ‘PPP’ MAENDELEO YATAKAWIA – BALOZI DKT. MWAMPOGWA

………..  NA MWANDISHI WETU, TANGA Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (Public and Private Partnership – PPP) ni muhimu sana katika kuchagiza kasi ya maendeleo na bila ushirikiano huo, maendeleo yatakawia kuwafikia wananchi kule walipo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania – Watoto wa Afrika, Balozi Dkt. Mohamed…

Read More

Ukahaba ni 'Ukiukaji Mkubwa wa Haki za Kibinadamu'—Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Reem Alsalem, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na Wasichana, katika mkutano na waandishi wa habari ambapo anajadili matokeo yake kuhusu ukahaba. Credit: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Alhamisi, Oktoba 03, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Oktoba 03 (IPS) – Reem Alsalem, Mtaalamu Maalumu wa…

Read More

Mashirikiano PURA, ZPRA yazidi kuimarika

Mashirikiano kati ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar yameendelea kuimarika kufuatia jitihada za dhati zinazofanywa na uongozi wa Taasisi hizo kutekeleza Hati ya Makubaliano waliyoingia mwaka 2022. Hayo yamedhihirika wakati wa kikao cha menejimenti za…

Read More

Straika Fountain Gate katikati ya Maabad, Mgaza

MMOJA wa wachezaji  wanaofanya vizuri Ligi Kuu Bara msimu huu ila hazungumzwi sana ni mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, kutokana na kiwango bora anachokionyesha. Gomez aliyesajiliwa na Fountain msimu huu akitokea KVZ ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), msimu uliopita aliibuka mfungaji bora jambo linalosubiriwa kuona rekodi zake zitakuwaje katika kikosi hicho cha…

Read More

Sababu Serikali kuifumua sera ya sayansi, teknolojia

Dodoma. Wizara wa Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza mchakato wa kufanyia maboresho ya Sera ya Sayansi na Teknolojia, ambapo wadau wenye maoni wametakiwa kuyawasilisha kwa ajili ya uchambuzi. Akizungumza mwishoni wa wiki iliyopita, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema marekebisho ya sera hiyo yalisimama kupisha mageuzi ya elimu. Alisema ili kufanikisha…

Read More

PROF.KUSILUKA AWATAKA WATAALAMU WA MAZINGIRA UDOM KUREJESHA UOTO WA ASILI DODOMA.

  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa  mdahalo ulioandaliwa na Idara ya Jiografia na Stadi za Mazingira UDOM  wenye kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi na Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame” uliohusisha wadau wa mazingira kutoka ndani na nje ya UDOM. Mkuuwa Idara ya Jiografia Dkt.Augustino Mwakipesile,akizungumza wakati…

Read More

Mjadala wanawake, wanaume, watoto kulazwa wodi moja Mwanza

Dodoma. Mbunge wa Ilemela (CCM), Angelina Mabula amesema katika Kituo cha Afya cha Sangabuye wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza kilipandishwa hadhi 1999 kutoka zahanati lakini kituo hicho hadi leo kina wodi moja tu ambayo hulazwa wanawake, wanaume na watoto. “Je ni lini Serikali itakamilisha miundombinu pale ikiwa ni pamoja na kujenga uzio,” amehoji Dk Mabula….

Read More