PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 15,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 15,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 15,2024 About the author
……….. NA MWANDISHI WETU, TANGA Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (Public and Private Partnership – PPP) ni muhimu sana katika kuchagiza kasi ya maendeleo na bila ushirikiano huo, maendeleo yatakawia kuwafikia wananchi kule walipo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania – Watoto wa Afrika, Balozi Dkt. Mohamed…
Reem Alsalem, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na Wasichana, katika mkutano na waandishi wa habari ambapo anajadili matokeo yake kuhusu ukahaba. Credit: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Alhamisi, Oktoba 03, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Oktoba 03 (IPS) – Reem Alsalem, Mtaalamu Maalumu wa…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (WA Nne kushoto) akiwa ameshika taarifa za utendaji katika Sekta ndogo ya Umeme, Gesi Asilia na Mafuta kwa mwaka 2022/2023 mara baada ya kuzizindua jijini Dodoma. Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na wa Nne kutoka kulia ni…
Mashirikiano kati ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar yameendelea kuimarika kufuatia jitihada za dhati zinazofanywa na uongozi wa Taasisi hizo kutekeleza Hati ya Makubaliano waliyoingia mwaka 2022. Hayo yamedhihirika wakati wa kikao cha menejimenti za…
MMOJA wa wachezaji wanaofanya vizuri Ligi Kuu Bara msimu huu ila hazungumzwi sana ni mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, kutokana na kiwango bora anachokionyesha. Gomez aliyesajiliwa na Fountain msimu huu akitokea KVZ ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), msimu uliopita aliibuka mfungaji bora jambo linalosubiriwa kuona rekodi zake zitakuwaje katika kikosi hicho cha…
Dodoma. Wizara wa Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza mchakato wa kufanyia maboresho ya Sera ya Sayansi na Teknolojia, ambapo wadau wenye maoni wametakiwa kuyawasilisha kwa ajili ya uchambuzi. Akizungumza mwishoni wa wiki iliyopita, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema marekebisho ya sera hiyo yalisimama kupisha mageuzi ya elimu. Alisema ili kufanikisha…
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Idara ya Jiografia na Stadi za Mazingira UDOM wenye kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi na Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame” uliohusisha wadau wa mazingira kutoka ndani na nje ya UDOM. Mkuuwa Idara ya Jiografia Dkt.Augustino Mwakipesile,akizungumza wakati…
Dodoma. Mbunge wa Ilemela (CCM), Angelina Mabula amesema katika Kituo cha Afya cha Sangabuye wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza kilipandishwa hadhi 1999 kutoka zahanati lakini kituo hicho hadi leo kina wodi moja tu ambayo hulazwa wanawake, wanaume na watoto. “Je ni lini Serikali itakamilisha miundombinu pale ikiwa ni pamoja na kujenga uzio,” amehoji Dk Mabula….
Kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar zikiendelea kua bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo ,Waziri wa afya wa Zanzibar Nassor Mazrui ametangaza Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Rais mwinyi sasa rasmini zitasimamiwa na sekta binafsi kwenye uwendeshaji ili kua na huduma za kimataifa Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum…