Mgombea ubunge aahidi kuondoa tatizo la maji Uyui

Tabora. Zikiwa zimepita siku chache tangu mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, kunadi sera za chama hicho mkoani Tabora, Wilaya ya Uyui nayo imezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi. Katika uzinduzi huo, mgombea wa ubunge wa Jimbo la Uyui kupitia CCM, Shaffin Sumar ameahidi kutekeleza ilani ya chama iwapo atapewa ridhaa ya kuongoza. Ametaja…

Read More

Makambo ampa mzuka Fabrice Ngoy

NYOTA wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake raia wa DR Congo, Heritier Makambo kunampa motisha kuhakikisha anaendelea kupambana katika kikosi cha kwanza, kila anapopata nafasi uwanjani. Kauli ya Ngoy inajiri baada ya kuongezewa washambuliaji wengine akiwemo Makambo aliyewahi kuichezea Yanga na msimu uliopita alicheza Tabora United (kwa sasa TRA United)…

Read More

Video: Waziri Mkuu Mwigulu – ”Mtauana Bure Ardhi Haiongezeki”

Bakari Mahundu February 26, 2026 0 Comments Leo Februari 26, 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Manyara, wilayani Kiteto, ambako amewahutubia wananchi, kusikiliza kero zao na kuzitolea ufumbuzi. Katika mkutano huo, mwananchi Ngobi Zuberi aliibua kero akidai wafugaji kulisha mifugo kwenye shamba lake lote hali iliyosababisha kushindwa kuvuna chochote….

Read More

Mnigeria arithi mikoba ya Assinki Singida Black Stars

BAADA ya Singida Black Stars kumtoa kwa mkopo aliyekuwa beki wa timu hiyo Mghana, Frank Assinki, uongozi wa kikosi hicho tayari umekamilisha usajili wa Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins, ili kurithi mikoba yake kwa mkataba wa miaka miwili. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amekamilisha usajili huo kwa mkataba…

Read More

Wataalamu wa fedha SADC wajadili  kuongeza bajeti

Dar es Salaam. Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa nchi za Afrika  (SADC) wamekutana jijini Pretoria nchini Afrika Kusini kujadili hali ya kifedha ya jumuiya hiyo pamoja na mikakati ya kuongeza vyanzo vya mapato ili kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kikanda. Taarifa iliyotolewa na Wizara…

Read More

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUKAMILIKA DARAJA LA JEMA- OLDONYOSAMBU

………. 📌Miaka ya adha yafikia kikomo, usafirishaji wa mazao na huduma za kijamii sasa warahisishwa Ngorongoro  Wananchi wa Kata ya Oldonyosambu, wilayani Ngorongoro, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja la mawe lenye urefu wa mita 45 katika Mto Mbaga linalounganisha vijiji vya Jema na Oldonyosambu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi hao walisema kukamilika kwa daraja hilo…

Read More

SAID SOUD SAID: Ole wao watakaolalia vitanda vya 6 × 6 Zanzibar

Haina maana kuwa ili ushindane na mtu sharti uwe hukubaliani naye. Inawezekana ukaona anafaa kwa kila nyanja, lakini kwa sababu ushindani umewekwa, unaamua kujitosa kumkabili unayemkubali. Inaitwa ushindani bila chuki. Said Soud Said ni mgombea urais wa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Anasema anajitosa kumkabilia Rais aliye madarani, Dk Hussein Ali Mwinyi, lakini wakati huohuo…

Read More