MZUMBE YASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA TAASISI YA UWAKALA WA VYUO VIKUU NJE YA NCHI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. William Mwegoha (wa pili kushoto) na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uwakala wa Vyuo Vikuu Nje ya Nchi (Global Education Link ltd) Bw. Abdulmalik S. Mollel (wa pili kulia) wakisaini hati ya Makubaliano ya Ushirikiano baina ya Taasisi hizo. ********* Chuo Kikuu Mzumbe kimeingia katika hatua mpya ya…