ACT Wazalendo kusajili wanachama milioni 10 ziara mikoa 22

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimejipanga kufanya mambo matatu katika ziara yake ya mikoa 22 Tanzania Bara ikiwemo kuhamasisha wananchi kushiriki kupiga kura na kuzilinda katika vituo vya kupigia kura katika chaguzi zinazokuja. Sambamba na hilo, wamejipanga kusikiliza kero za wananchi na dhumuni lingine ni kusajili wanachama milioni 10 katika ziara hiyo inayotarajiwa…

Read More

Changamoto ya soko yawasukuma wakulima kuanzisha kiwanda

Rombo. Wakulima wa ndizi zaidi ya 30 kutoka Kata ya Maharo, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro, wameungana na kuanzisha kiwanda cha kuchakata ndizi ili kukabiliana na changamoto ya kukosekana kwa soko la uhakika la bidhaa hiyo. Wakulima hao wamesema kukosekana kwa soko la uhakika kumewalazimu kuuza ndizi kwa bei ndogo, ambapo mkungu mmoja huuzwa kwa…

Read More

Inawezekana kuwa wenza bila mapenzi ya mwili

Katika jamii nyingi, upendo umezoeleka kuhusishwa moja kwa moja na uhusiano wa kimapenzi. Filamu, nyimbo, vitabu na mitandao ya kijamii huonyesha mapenzi ya wapenzi kama kilele cha mafanikio ya kihisia. Lakini miongoni mwa vijana wa kizazi cha sasa, upo mtazamo mpya unaochipuka — upendo wa ‘kiplatoniki’, yaani, ule wa kirafiki wa kina usiohusisha uhusiano wa…

Read More

Mwalimu kutesti na Sevilla, Porto

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza mechi mbili dhidi ya Sevilla ya Hispania na Porto kutoka Ureno. Kwa mujibu wa tovuti ya Wydad, timu hiyo itacheza mechi mbili za kirafiki kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia…

Read More

Watuhumiwa mauaji ya mtoto Grayson wafikishwa mahakamani Dodoma

Dodoma. Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Grayson Kanyenye (6) wamefikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024. Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama gani. Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wakifikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024. Picha na…

Read More

Waathirika jengo Kariakoo kupoteza mamilioni ya fidia

Dar es Salaam. Waathirika na ndugu wa walioathiriwa na kuporomoka jengo la ghorofa nne Kariakoo wangelipwa mamilioni ya fidia iwapo Sheria ya Bima, Sura ya 394, ingetekelezwa kikamilifu, wachambuzi wanasema. Serikali ilibadilisha Sheria ya Bima, Sura ya 394, kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2022, ili kupanua bima ya lazima kujumuisha masoko ya umma, majengo…

Read More

Rahim Aga Khan V atawazwa rasmi

Lisbon. Mtukufu Mwanamfalme Rahim Aga Khan V ametawazwa rasmi kuwa kiongozi wa jamii ya Ismaili na Imam wa 50, kwenye hafla iliyohudhuriwa na viongozi wa jamii ya Waislamu wa Shia Ismaili duniani. Hafla hiyo imefanyika leo Februari 11, 2025 katika ofisi kuu ya kiutawala ya Imam inayofahamika kwa jina la Diwan ya Ismaili Imamat iliyopo…

Read More

Chanzo cha H. Pylori na jinsi ya kuiepuka

Dar es Salaam. Unaweza ukawa na maumivu makali ya tumbo yanayokufanya uhisi kama linawaka moto, limejaa gesi huku ukihisi kichefuchefu na hata kutapika, ukafikiria una vidonda vya tumbo. Ukipata dalili hizi ni vyema kufika hospitali kufanyiwa vipimo na uchunguzi wa kitabibu kwa sababu huenda ukawa unasumbuliwa na bakteria aina ya H. Pylori. Akizungumza na Mwananchi…

Read More