Daraja jipya laibua kicheko kwa wasafiri, madereva

Kibaha. Wananchi, madereva na wasafirishaji waliokuwa wakikumbwa na changamoto kubwa ya usafiri kila msimu wa mvua eneo la bonde la maji, Ruvu, Kibaha mkoani Pwani, sasa wamefurahi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja jipya la mita tano lenye thamani ya Sh1.5 bilioni. Kwa miaka mingi, eneo hilo lilikuwa kikwazo kikubwa kwa usafiri, kwa sababu…

Read More

Aliyekuwa Waziri Mkuu Thailand kutupwa jela mwaka mmoja

Bangkok. Mahakama Kuu ya Thailand imeamuru waziri mkuu wa zamani, Thaksin Shinawatra, kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kubaini hakutimiza ipasavyo kifungo chake cha awali alichotumia muda mwingi hospitalini badala ya gerezani. Katika uamuzi uliosomwa juzi Jumatatu, majaji walisema Thaksin, mwenye umri wa miaka 76, alihamishiwa hospitalini kinyume cha sheria wakati akianza kutumikia…

Read More

Simba ni mchaka mchaka, hakuna kulala!

KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na kucheza mechi nne za kirafiki za kimataifa za kujipima nguvu. Simba ilianza kambi ya muda mfupi jijini Dar es Salaam kisha Julai 30 ikasafiri…

Read More

Tabia ndogo za afya zinazoweza kuokoa maisha yako

Dar es Salaam. Kila mwaka duniani kote, mamilioni ya watu hufariki kutokana na magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo na saratani. Shirika la Afya Duniani (WHO) linaeleza kuwa takribani watu milioni 41 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa haya, sawa na asilimia 74 ya vifo vyote duniani. Habari njema ni…

Read More

Wamachinga waliyoondolewa mitaa ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo

Dar es Salaam. Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imewaondoa wamachinga waliokuwa wakifanyabiashara katika barabara za Uhuru na Msimbazi, eneo la Kariakoo, katika utekelezaji wa tangazo lililotolewa awali kuwataka kuondoka katika maeneo yasiyoruhusiwa. Hatua hiyo ni utekelezaji wa tangazo lililotolewa na Mkurugenzi wa Jiji, Elihuruma Mabelya, Februari 17, 2026, lililobandikwa katika mitaa mbalimbali ya…

Read More

Askofu Munga azikwa, jamii ikiaswa juu ya upendo

Mkinga. Mazishi ya Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, yametawaliwa na nasaha za kuwaasa Watanzania kuimarisha amani na upendo, badala ya kujenga chuki. Dk Munga amezikwa leo, Septemba 24, 2025, saa 9:30 alasiri ndani ya kanisa lililopo Kijiji cha Maramba, wilayani Mkinga, mkoani Tanga….

Read More