Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye mwaka huu unakuwa huru, haki na wa amani. Uzinduzi wa kamati hiyo ni sehemu ya mchakato wa kushirikisha wadau wa uchaguzi hususan vyama vya…

Read More

Simba, Nabi kuna kitu | Mwanaspoti

KUNA kitu kilikuwa kinaendelea kati ya kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi na viongozi wa Simba ambacho kimemalizika kwa mmoja wao kununa. Kocha huyo maarufu nchini anayeinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini alikuja nchini na mzigo akitaka kununua mashine moja ndani ya Simba. …

Read More

MWENYEKITI WA TUME YA MADINI ATEMBELEA BANDA LA TUME KWENYE MAONESHO YA NANENANE

Dodoma, Agosti 7, 2025 Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet R. Lekashingo, ameongoza ujumbe wa Tume kutembelea Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima (Nane Nane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.Dkt. Lekashingo ameambatana na Makamishna wa Tume, Mhandisi Theonestina Mwasha na Dkt. Theresia Numbi, pamoja na Katibu Mtendaji…

Read More

KAMPUNI YA SUKARI KILOMBERO YABORESHA ELIMU YA WASICHANA KWA KUCHANGIA TAULO ZA KIKE WILAYANI KILOMBERO

Katika jitihada kubwa za kuboresha elimu ya wasichana na kuongeza uelewa kuhusu hedhi salama, Kampuni ya Sukari Kilombero imetoa zaidi ya taulo za kike 2,400 kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Cane Growers iliyopo wilayani Kilombero. Jitihada hii inaonyesha ahadi ya Kampuni hiyo katika kukabiliana na tatizo la hedhi salama na kusaidia jamii…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni ‘kugalagala’

Songea. Ingawa kugaagaa ‘kugalagala’ wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugalagala chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugalagala kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri wa…

Read More

Dabi ya Dodoma ardhi ya ugenini

UMESHAWAHI kushuhudia mchezo wa dabi ukipigwa katika ardhi ya ugenini? Basi leo ndiyo itatokea hivyo pale Dimba la Tanzanite Kwaraa lililopo Manyara pindi Fountain Gate inayonolewa na kocha Mohamed Muya ikiikaribisha Dodoma Jiji ya Mecky Maxime. Kama inavyofahamika mchezo wa dabi huwa baina ya timu zinazotokea eneo moja la mji, hivyo mchezo huu wa leo…

Read More