Veta Moshi yapunguza gharama kwa kutumia nishati safi
Moshi. Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) Moshi kimeanza safari ya kuachana na nishati chafu na kuelekea matumizi ya nishati safi, hatua inayolenga kupunguza gharama za uendeshaji, kulinda afya za watumiaji na kuhifadhi mazingira. “Kwa mujibu wa waraka wa Serikali wa kuhamasisha taasisi kuachana na nishati chafu, tumeanza kutumia majiko yanayochoma kuni mbadala (briquettes) na sasa…