TTC Memphis yatinga nusu fainali tabora

 TTC Memphisi imekuwa ya kwanza kutinga nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Tabora, baada ya kuvuna pointi 10 kutokana na ushindi wa michezo   mitano mfululizo.  TTC inafuatiwa na Stylerz Centre yenye pointi nane na ingemaliza na tisa kama ingekamilisha  robo ya nne. Kutokana na sheria ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Kikapu duniani (FIBA),…

Read More

Dakika 90 zilivyoipa Yanga rekodi mpya Angola

YANGA imeanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiichapa Wiliete ya Angola kwa mabao 3-0, ikiwa kama imetanguliza mguu mmoja kufuzu hatua inayofuata ya mchujo. Yanga imewahi kuzing’oa timu mbalimbali za Angola, lakini ushindi huo uliopatikana kwenye Uwanja wa Novemba 11, Luanda unavunja unyonge wa mabingwa hao wa Tanzania kushinda ndani ya…

Read More

Wadau wabainisha vichocheo vya rushwa kwa trafiki

Dar es Salaam. Masilahi duni na kukosekana uweledi kwa askari wa usalama barabarani, vimetajwa kuwa vichocheo vya kuwapo vitendo vya rushwa. Hata hivyo, Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) na Chama cha Wamiliki wa Daladala Dar es Salaam (Darcoboa), wameeleza si trafiki pekee wanaopokea rushwa, huku madereva na wamiliki wa mabasi wenye makosa barabarani…

Read More

WAZIRI JAFO ATOA MAAGIZO KUDHIBITI BIDHAA BANDIA NCHINI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,akizungumza wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kudhibiti Bidhaa Bandia Duniani, yaliyoandaliwa na Tume ya Ushindani (FCC),yaliyofanyika leo Juni 25,2025 jijini Dodoma. …… WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,amewataka wafanyabiashara wote wanaozalisha bidhaa nchini pamoja na waagizaji kutoka nje kuhakikisha wanazingatia sheria ya alama…

Read More