Zaidi ya wanafunzi 1,000 kupelekwa India, China, Malaysia na Uturuki wakiwa Mabalozi wa Utalii na Uwekezaji wa Tanzania”

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi na imeanza kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kuwatumia wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kutangaza utalii. Hayo yalisemwa jana jijjini Dar es Saaalaam na Mkurugenzi Mkuu wa (GEL),…

Read More

Kulipiza kisasi kwa Iran kunaongezeka huku mashambulizi ya Marekani na Israel yakiendelea – Masuala ya Ulimwenguni

© Unsplash/Kamran Gholami Tehran, mji mkuu wa Iran. (picha ya faili) Jumatatu, Machi 02, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ongezeko la ghasia katika eneo la Mashariki ya Kati limeingia siku ya tatu huku mashambulizi yaliyoratibiwa ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiendelea kusababisha hasara ya maisha na uharibifu katika eneo hilo, na kupelekea…

Read More

Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi

Arusha. Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma, kilichofunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, jijini Arusha,…

Read More

Mmemsikia aliyeivuruga Stars kwa Mkapa

KIUNGO wa Morocco, Mohamed Rabie Hrimat ameweka wazi dhamira ya timu hiyo katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 ni kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu. Mara baada ya kuizamisha Tanzania kwa bao 1-0 katika mechi ya robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Hrimat alisema mechi hiyo haikuwa rahisi…

Read More

Mwanafunzi afa maji akienda shuleni

Arusha. Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia Ijumaa Februari 27, 2026 imesababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na wawili kuokolewa wakati wakielekea shuleni kupitia kwenye korongo lililokuwa likipitisha maji kutoka maeneo ya miinuko. Mwanafunzi huyo, Daniel  Joseph (11) wa darasa la nne katika Shule Msingi Terrat iliyopo Kata ya Muriet jijini Arusha, mwili wake umehifadhiwa kwenye…

Read More

ORYX GAS NA TCRF WAZINDUA JIKO LA NISHATI SAFI SHULE YA SEKONDARI YUSUF MAKAMBA

::::::: Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeendelea kuunga juhudi za Serikali katika matumizi ya nishati safi ya kupikia imeshirikiana na Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuzindua jiko linatumia mfumo wa nishati safi katika Shule ya Sekondari Yusuf Makamba iliyopo Dar es Salaam lengo likiwa kuondoa matumizi ya mkaa katika shule hiyo yenye wanafunzi…

Read More

Wagonjwa 700 kufikiwa na huduma ya mtoto wa jicho Songwe

Mbeya. Ili kukabiliana na tatizo la upofu unaoepukika, Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Helen Keller International inatarajia kuweka kambi ya siku sita mkoani Songwe kwa ajili ya kuwahudumia wenye tatizo la mtoto wa jicho. Huduma hiyo inatarajia kuwafikia wananchi 700 katika maeneo mbalimbali mkoani humo, ikiwa na…

Read More