Cheza Super Heli na Meridianbet, Shinda Samsung Galaxy A25

MERIDIANBET imezindua ofa ya kipekee inayochanganya msisimko wa mchezo na zawadi ya thamani, nafasi ya kushinda Samsung Galaxy A25 mpya kabisa kwa kucheza mchezo maarufu wa kasino mtandaoni, Super Heli. Super Heli ni mchezo unaotumia dhana rahisi lakini yenye kuvutia. Helikopta inapopaa angani, odds huongezeka kadri inavyopaa juu, na mchezaji anapovuta dau lake kwa wakati…

Read More

Waumini 84 wa kanisa la Gwajima waachiwa kwa dhamana

Dar es Salaam. Waumini 84 kati ya 86 waliokamatwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameachiwa kwa dhamana baada ya kuzuiliwa kwa muda wakituhumiwa kukiuka maagizo ya Serikali. Waumini hao ni miongoni mwa waliokamatwa alfajiri ya kuamkia Juni 3, 2025, kufuatia mvutano uliotokea kati yao na Jeshi la Polisi, lililovamia…

Read More

Tatizo la afya ya akili laongezeka Zanzibar

Unguja. Zaidi ya watu 5,000 wanakadiriwa kukabiliwa na tatizo la afya ya akili Zanzibar. Hata hivyo, kutokana na udhaifu wa usajili wa wagonjwa, idadi inaelezwa yaweza kuwa mara mbili zaidi. Hayo yamebainika leo Aprili 30, 2024 katika mkutano wa wauguzi na waandishi wa habari kuhusu kazi zitakazofanyika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wakunga…

Read More

Taifa Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More