Amcos zisizozalisha kilo 10,000 za pamba kufutwa

Mwanza. Vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) vitakavyoshindwa kuzalisha angalau kilo 10,000 za pamba kwa mwaka vitafutwa kuanzia msimu ujao, ikiwa ni mkakati wa Serikali kupunguza vyama visivyo na tija na kuimarisha uzalishaji wa zao la pamba mkoani Mwanza. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 30, 2026 na Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa…

Read More

Tume yakutana na mashirika yasiyo ya kiserikali

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Mkutano huo wa Tume na viongozi hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…

Read More

Tume yakutana na Wakili Peter Madeleka

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka. Mkutano huo wa Tume na Madeleka umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar es Salaam….

Read More

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA LAPITISHA RASIMU YA BAJETI SHILINGI BILIONI 112.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/27

Na Nasra Ismail, Geita. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Januari 30,2026 limefanya Mikutano wake Maalum kujadili na kupitisha rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/27. Akiwasilisha rasimu hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo…

Read More

Iringa kupanda miti milioni 42

Iringa. Mkoa wa Iringa umeimarisha usimamizi wa kampeni ya upandaji miti kwa kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji na uwajibikaji. Umesema lengo ni kutaka kuhakikisha miti inayopandwa inatunzwa na kukua, badala ya kupandwa kwa lengo la kutimiza takwimu za kampeni pekee. Hatua hiyo imebainishwa leo Ijumaa Januari 30, 2026 katika Kijiji cha Ihemi, Wilaya ya Iringa,…

Read More

MIKAKATI YAWEKWA KUIJENGA UPYA TANZANIA KIMIUNDOMBINU

 ::::::::::::: SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza Pato la Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam , Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema mpango huo unaojulikana kwa jina la Expressways Master Plan sasa umeanza kutekelezwa na…

Read More