Straika JKU akoleza ZPL moto mbio za ubingwa

SAFU ya ushambuliaji ya timu ya JKU inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) imeendelea kujiwekea mikakati kabambe kuhakikisha taji linarudi msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Hilali Nassor amesema JKU ipo Ligi Kuu Zanzibar kwa ajili ya kupambania ubingwa na sio kushiriki. Alisema ndio maana kila mchezaji wa timu hiyo kipaumbele chake…

Read More

Nsajigwa afuta mapumziko Prisons | Mwanaspoti

KOCHA wa Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, amesema kuwa kikosi hicho hakitakuwa na muda wa mapumziko kwani anahitaji kufanyia kazi eneo la utulivu kwa wachezaji wake. Nsajigwa alichukua nafasi hiyo baada ya klabu hiyo kuachana na Zedekiah Otieno kufuatia mfululizo wa matokeo mabaya, kwa sasa ameiongoza timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu. Tangu akabidhiwe…

Read More

Kiu ya ubingwa yaitesa KVZ

KATI ya timu za vikosi zinazoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ambazo hazijawahi kubeba ubingwa wa ligi hiyo, KVZ ni mojawapo tangu kuanza kwa ligi hiyo mwaka 1984. Nyingine ni Uhamiaji. Akizungumza na Mwanaspoti, kiungo mshambuliaji wa KVZ, Seif Said Seif ‘Tiote’ amewasihi mshabiki kutochoka kuwasapoti kwani nao wanapambana kuhakikisha taji linapatikana. “Tunajua mashabiki wa KVZ…

Read More

Pointi 27 kufunga hesabu za Uhamiaji

KOCHA Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh, amesema licha ya kuwepo ugumu wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026, lakini sio sababu ya kuacha kupigania malengo yao. Alisema kwa hatua ambayo imeshafikia Uhamiaji ya kuwa nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hiyo kilichobaki ni kuongeza bidii na kuvuna pointi kati ya 25 hadi 27. Alisema…

Read More

Mecky agundua dawa Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Mecky Maxime amesema anahitaji kulifanyia kazi zaidi eneo la saikolojia kwa wachezaji wake ili waweze kuwa na utulivu wanapokuwa uwanjani. Mecky aLIkabidhiwa Mbeya City hivi karibuni na imeonekana kutokuwa na matokea mazuri uwanjani kwenye michezo yake iliyocheza kwa sasa ikiwa katika nafasi ya 14 na pointi 13 imecheza jumla ya mechi…

Read More

Nashon aichomoa Simba mkwanja wa maana

KIKOSI cha Simba jana kilikuwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, jijini, Dar es Salaam, kucheza dhidi ya TRA United, huku kiungo mpya wa timu hiyo, Kelvin Nashon, akiingiza zaidi ya Sh230 milioni, ili kukamilisha dili hilo. Mechi hiyo ya Ligi Kuu, ni ya raundi ya pili, baada ya ile ya kwanza iliyopangwa kufanyika…

Read More

Muya ataka mechi za kirafiki Coastal

KOCHA wa Coastal Union Mohamed Muya ameweka wazi mkakati wake kuelekea kipindi hiki cha mapumziko, huku akisisitiza umuhimu wa kucheza mechi za kirafiki ili kujiweka sawa kabla ya kurejea kwenye ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti alisema kuwa, mapumziko haya hayapaswi kuwa ya kupoteza muda, bali ni fursa ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika michezo iliyopita na kuimarisha…

Read More

Huko Yanga kuna fukuta, kocha aitwa mezani

YANGA ilirejea nyumbani jana kwa mafungu ikitokea Mkoani Dodoma ilikokwenda kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kutengeneza sare nyingine ya tano msimu huu lakini matokeo hayo yameibua presha kubwa kwa kocha wa timu hiyo Pedro Goncalves. Presha kubwa ya Pedro ni kwamba Yanga ikiwa chini yake haijapoteza mchezo wowote lakini kwenye sare…

Read More

IPTL YAPATA USHINDI: MWENYEKITI ASAFISHWA NA POLISI

  JESHI la Polisi Tanzania limetoa cheti cha kumsafisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi dhidi ya uhalifu katika kumbukumbu zao. Cheti cha Kibali cha Polisi chenye kumbukumbu namba FB/FP/G.4/2026/VOL.III/49198, kimetolewa na Ofisi ya  Uchunguzi wa alama za vidole na Jeshi la Polisi  jijini Dar es Salaam. Cheti hicho…

Read More