Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka
Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka – Global Publishers Home Habari Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka
Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka – Global Publishers Home Habari Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka
Shinyanga. Serikali imeagiza kufanyika kwa tathmini ya nyumba zilizojengwa katika eneo la mwekezaji lililopo Mtaa wa Butengwa, Manispaa ya Shinyanga. Imeelezwa kwamba lengo ni kutaka kubaini idadi ya wananchi waliovamia na kujenga bila kibali cha Ofisi ya Ardhi, kufuatia mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka minane sasa. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa…
Mwanza. Vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) vitakavyoshindwa kuzalisha angalau kilo 10,000 za pamba kwa mwaka vitafutwa kuanzia msimu ujao, ikiwa ni mkakati wa Serikali kupunguza vyama visivyo na tija na kuimarisha uzalishaji wa zao la pamba mkoani Mwanza. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 30, 2026 na Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa…
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Mkutano huo wa Tume na viongozi hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…
Unguja. Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amesema jitihada za kupata suluhisho la mkwamo wa kisiasa uliotokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 visiwani Zanzibar zipo katika hatua muhimu, akisisitiza kuwa mazungumzo yanayoendelea yanalenga kuleta maridhiano ya kweli na amani ya kudumu kwa Wazanzibari. Othman ametoa kauli hiyo leo Januari 30, 2026, wakati…
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka. Mkutano huo wa Tume na Madeleka umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar es Salaam….
Na Nasra Ismail, Geita. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Januari 30,2026 limefanya Mikutano wake Maalum kujadili na kupitisha rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/27. Akiwasilisha rasimu hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Yateua Mbunge na Diwani wa Viti Maalumu – Global Publishers Home Habari Tume ya Taifa ya Uchaguzi Yateua Mbunge na Diwani wa Viti Maalumu
Iringa. Mkoa wa Iringa umeimarisha usimamizi wa kampeni ya upandaji miti kwa kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji na uwajibikaji. Umesema lengo ni kutaka kuhakikisha miti inayopandwa inatunzwa na kukua, badala ya kupandwa kwa lengo la kutimiza takwimu za kampeni pekee. Hatua hiyo imebainishwa leo Ijumaa Januari 30, 2026 katika Kijiji cha Ihemi, Wilaya ya Iringa,…
::::::::::::: SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza Pato la Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam , Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema mpango huo unaojulikana kwa jina la Expressways Master Plan sasa umeanza kutekelezwa na…