Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa umani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (Chawata) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU PEMBEJEO ZA KILIMO,KUKAMILISHA MIRADI

*Azungumzia kuhusu kutatua changamoto ya uhaba wa maji, agusia miundombinu ya barabara Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi Serikali katika miaka mitano ijayo itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku sambamba na kutafuta masoko ya mazao ili wakulima wanufaike na jasho lao….

Read More

Mabula afichua kitu Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema huu unaweza kuwa msimu wake bora na wenye mafanikio tangu aanze kucheza soka la kulipwa. Kabla ya kutimkia Shamakhi kiungo huyo aliwahi kuitumikia FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia maarufu kama Serbian SuperLiga kwa misimu miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula alisema msimu…

Read More

Ligi ya Kriketi Wasichana nguvu yahamishiwa Dodoma

CHAMA cha Kriketi nchini (TCA)  kimeazimia kulifanya Jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya mchezo wa kriketi na kuzidi kuhamasisha hasa wanawake kushiriki. Mkufunzi wa Kriketi Dodoma, Benson Mwita alisema wanataka kuhakikisha mchezo huo unakuwa kati ya inayopendwa na wanawake shuleni. “Mwitikio wa vijana ni mkubwa na wengi, hasa wasichana wametokea kuupenda mchezo huu. Naamini…

Read More

Dk Mwinyi anavyotembea na ajenda ya amani, maendeleo na uchumi

Unguja. Ahadi za kujenga mshikamano, amani na utulivu, maendeleo ya watu na kukuza uchumi, ndizo zinazoonekana kuyatawala majukwaa ya kampeni za urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Tayari kampeni hizo zilizozinduliwa katika Uwanja wa Mnazimmoja Unguja, zimeshatimiza siku ya saba tangu zilipoanza, zikibakiza mwezi mmoja kabla ya upigaji kura, utakaofanyika Oktoba 28 na…

Read More

Biashara ya maziwa inavyowainua kiuchumi wanawake wa Mwika

Moshi. Wakati changamoto ya ajira ikiendelea kuwa kikwazo nchini, baadhi ya wanawake wa Kata ya Mwika Kaskazini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wameeleza namna shughuli ya uuzaji wa maziwa ya ng’ombe inavyowainua kiuchumi na kuboresha maisha ya familia zao. Wanawake hao ambao wamejikita katika ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na kuuza maziwa  katika kiwanda cha…

Read More

KMKM, AS Port zatambiana CAF

KOCHA wa AS Port, Seninga Innocent, amesema kuchagua kuutumia Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar kwa mchezo wao wa nyumbani dhidi ya KMKM kutoka visiwani hapa, sio sababu ya kushindwa kirahisi, bali watapambana kupata ushindi. Innocent ameyasema hayo jana Jumamosi Septemba 20, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kwanza wa…

Read More