Wadau waeleza ushirikiano unavyoleta maendeleo thabiti

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma ni nguzo muhimu ya kuhakikisha Tanzania inafanikisha Dira ya Maendeleo ya 2050, inayolenga kujenga Taifa jumuishi kidijitali, lenye uchumi thabiti, jamii yenye ustawi na utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa leo Jumanne, Agosti 26, 2025 na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Ripoti ya Ujumuishi wa…

Read More

Shindano la Mabingwa Expanse kukupa milioni sikukuu Hii

Najua unafikiria namna gani unaweza kupiga mkwanja mrefu na kuifanya sikukuu yako kua nzuri na ya kibabe, Sasa kupitia shindano la michezo ya Expanse kasino unaweza kushinda kitita cha kutosha. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la…

Read More

MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo ambao Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Aziz Ki kwa mkwaju wa penati baadae Joseph Guede kupachika bao la pili akipokea pasi…

Read More

Marais wampongeza Papa mpya | Mwananchi

Washington. Marais Donald Trump wa Marekani na Volodymyr Zelensky wa Ukraine wamempongeza Papa mpya, Leo wa XIV, kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani. Rais wa Marekani, Donald Trump, alieleza furaha yake kubwa kupitia mtandao wa Truth Social, akimpongeza Kardinali Robert Francis Prevost kwa kuchaguliwa kuwa Papa. Trump alisema: “Hongera kwa Kardinali…

Read More

CEO Mbeya City aweka wazi maandalizi 2025/26

Wakati Mbeya City ikiingia rasmi kambini kesho Ijumaa huko Mwakaleli katika mji wa Tukuyu, wilayani Rungwe Mbeya, uongozi wa timu hiyo umesema umeridhishwa na maandalizi na kutamba kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupotea misimu miwili, imefichua kukamilisha usajili wa wachezaji 27 wakiwamo wa kimataifa.  Mtendaji…

Read More

UWT yatoa tamko kauli ya Serikali juu ya watoto njiti

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania – UWT inayoongozwa Mwenyekiti wake Mary Pius Chatanda imetoa shukrani na pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kulipa kipaumbele suala la afya hususai mama na mtoto ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira…

Read More

Mchengerwa atema cheche miradi kuwekwa wazi

Dodoma. Serikali imeagiza Wakurugenzi kote nchi kuweka wazi mikataba ya wakandarasi wanaojenga miradi kwenye maeneo yao kwani kufanya kwa kificho kunapeleka mashaka kwa wananchi na Serikali. Agizo hilo limetolewa leo Jumatano Juni 25,2025 Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mohamed Mchengerwa wa utiaji saini mikataba ya uboreshaji wa Miundombinu ya miji…

Read More

DIT Yabuni Vifaa Maalum vya Elimu ya Vitendo, “Train Kits”

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wamebuni vifaa maalum vya elimu ya vitendo vinavyojulikana kama Train Kits, vilivyotengenezwa hapa Tanzania kwa kutumia rasilimali za ndani. Akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea Ukumbi wa Mlimani City, Hosea Kimaro, mwanafunzi wa DIT na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More