
WADAU WA USAFIRI WA ANGA WAENDELEA KUJIPAMBANUA KATIKA MAONESHO YA SABASABA
Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka TCAA Bw. Teophory Mbilinyi, ametembelea jengo la Mamlaka ya Usafiri wa Anga (Aviation House) lililopo ndani ya viwanja vya Sabasaba na kujionea namna wananchi wanaofika katika banda hilo wanavyopatiwa huduma, TCAA inashiriki maonesho ya 48 ya Kimataifa ya biashara katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam. Mkurugenzi…