Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

MERIDIANBET Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Mashine ya uhamishaji ya Trump – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Leonardo Fernandez Viloria/Reuters kupitia picha za Gallo na Inés M. Pousadela (Montevideo, Uruguay) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay, Septemba 19 (IPS) – maelfu ya Waafghanistan ambao walikimbilia USA wakati Taliban ilichukua mnamo Agosti 2021 sasa wanakabiliwa Matarajio ya kufukuzwa kwa nchi ambazo hawajawahi kwenda. Watu ambao walihatarisha kila…

Read More

WANAWAKE e-GA WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Wanawake kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Makao Makuu Dodoma wameungana na wanawake wengine Mkoani Dodoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, Jijini Dodoma  ‎ ‎Katika kuadhimisha siku  hiyo Wanawake hao wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo chang’ombe mkoani humo. ‎ Akizungumza mara baada ya kukabidhi…

Read More

Baridi La Niña inaweza kurudi, lakini hali ya joto ya ulimwengu imeongezeka: WMO – Maswala ya Ulimwenguni

Takwimu za hivi karibuni zilizoshirikiwa na Shirika la Meteorological Duniani (WMO) inaonyesha uwezekano wa asilimia 55 kwamba joto la uso wa bahari kwenye Pacific ya ikweta lita baridi hadi viwango vya La Niña kutoka Septemba hadi Novemba. Kuhusu Asilimia 90 ya joto kupita kiasi kutoka kwa ongezeko la joto duniani huhifadhiwa baharinikufanya maudhui ya joto…

Read More

TANAPA SPORT AND HEALTH DAY

Na Pamela Mollel,Arusha. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefanya bonanza la michezo maalum lijulikanalo kama “TANAPA Sport and Health Day” leo tarehe 7 Machi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi. Lengo la bonanza hilo ni kuhamasisha mazoezi, kuimarisha afya na…

Read More

STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT

Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya CCBRT na kutoa mashine 12 za kushona kwa ajili yakuunga mkono Mpango wa Mabinti, unaolenga kuwawezesha wasichana na wanawake vijana kupitiamafunzo ya ujuzi na programu za urekebishaji wa maisha. Mashine hizo zitatumika katika Kituo…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar

WAFANYAKAZI Wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give to Gain” Tukio hili lilijumuisha tafakuri za Uwezeshaji, kushirikishana maarifa, kutambua wafanyakazi walio hudumu muda mrefu na liliheshimiwa kwa uwepo wa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bi. Diana Mwakitwange, kama Mgeni Rasmi. Kampuni ya Sukari Kilombero…

Read More