Mboneke gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More

RC Chongolo kuondoa changamoto ya foleni ya malori Tunduma

Tunduma. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, ameunda kamati maalumu kuchunguza sababu za ucheleweshaji wa malori ya mizigo kuvuka mpaka wa Tunduma, ambapo imebainika baadhi hukaa hadi siku nane yakisubiri vibali vya kuvuka. Kamati hiyo imeundwa baada ya Chongolo kufanya mazungumzo na wadau wa usafirishaji kwenye kituo cha kutoa huduma kwa pamoja (OSBP) kilichopo…

Read More

Rais Samia atangaza kuongeza mishahara kwa wafanyakazi

Katika kuboresha hali na ustawi wa wafanyakazi nchini, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1. Nyongeza hiyo itaanza kutumika Julai 2025 kwa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000 huku akitoa tumaini kwa ngazi nyingine pia zitapanda kwa kiwango kizuri kwa jinsi…

Read More

Sauti alivyogeuza changamoto soko la nyanya kuwa fursa

Dodoma. Upo msemo kuwa “Ukiona vinaelea vimeundwa”, ukiwa na maana ukiona jambo zuri basi kuna watu wameliwezesha kufikia hapo. Maisha ya Imani Sauti (27), mkazi wa Kata ya Ludewa iliyopo Kilosa mkoani Morogoro yanaendana na msemo huo wa wahenga, hasa ukiangalia maisha yake ya sasa na njia alizozitumia kufikia hapo. Baada ya kuhitimu kidato cha…

Read More