Ukata unavyoliandama Bunge la Afrika Mashariki,Spika alia

Dar es Salaam. Siku tatu baada ya kuahirishwa kwa vikao vya Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Spika wa Bunge hilo, Joseph Ntakirutimana amesema hakuna shughuli za Bunge hilo zilizosimama licha ya changamoto za kifedha zinazoikabili jumuiya hiyo. Ntakirutimana amebainisha hayo baada ya kutafutwa na Mwananchi kufafanua kuhusu athari zitakazojitokeza baada ya kufanyika kwa uamuzi wa…

Read More

Bashungwa atoa onyo kwa wageni kuchezea amani, asema…

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa ametoa onyo kwa wageni wanaotaka kuingia nchini wakiwa na nia ya kuchezea amani ya nchi na kwamba watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Bashungwa ameyasema hayo leo Mei 26, 2025 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2025/26….

Read More

Haaland, Raizin katika vita mpya

MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi, huku akieleza kila mchezo kwake anauchukulia kwa usiriaz. Kauli yake inajiri baada ya nyota hao kupishana mabao mawili, Shahame akifunga mabao 12 huku Raizin ambaye ndiye kinara akiwa na 14,…

Read More

Ujenzi holela unavyokwamisha uokoaji raia wakati wa majanga

Dar es Salaam. Miongoni mwa sababu za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kushindwa kufika eneo la tukio ni pamoja na mipango miji, huku sababu nyingine ikielezwa ni miundombinu kutokuwa rafiki. Kwa muda mrefu jeshi hilo limekuwa likitupiwa lawama kila kunapotokea tukio la moto, kwa kuchelewa kufika eneo la tukio na wakati mwingine ikidaiwa hata wakiwahi…

Read More

Umri kikomo mikopo ya vijana waongezeka

Dodoma. Serikali imeweka msimamo kuwa mikopo ya asilimia 10 katika kundi la vijana itatolewa kwa watu wenye umri wa mwisho wa miaka 45 pekee. Hata hivyo, umri huo ni nyongeza ya miaka 10 kutoka kikomo cha awali cha miaka 35, lakini kundi la wanawake halikuwa na ukomo. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo, Ijumaa Aprili 11,…

Read More

MBUNGE BONNAH ACHARUKA, ATAKA KUFUNGULIWA MARAMOJA NJIA ILIYOFUNGWA NA MFANYABISHARA WA KITUO CHA MAFUTA DAR

 MBUNGE wa Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli,  amesema yuko  tayari kutoa fedha zake  kugharamia uondoaji  mawe  makubwa  yaliyotumika na mfanyabiashara mmoja anayemiliki kituo cha mafuta kufunga  njia  na kusababisha  adha kubwa kwa wananchi kando ya daraja la juu linalovuka Reli ya  SGR,  Uwanja wa Ndege, Kata ya Kipawa, jijini Dar es Salaam. Aidha  mfanyabiashara  huyo…

Read More

Beki Azam aingia rada za Wasauzi

BEKI wa kati wa matajiri wa Dar es Salaam, Azam FC Abdallah Kheri ‘Sebo’ ameingia anga za Wasauzi baada ya kuanza kuwindwa na klabu ya Polokwane City ya Afrika Kusini kwa ajili ya kukitumikia kikosi hicho chenye makao jijini Polokwane katika jimbo la Limpopo.

Read More