Vita ya Iran kutikisa wakulima upatikanaji mbolea dunia
Wakati vita ya Marekani, Israel dhidi ya Iran ikiendelea kushika kasi kwa takribani wiki ya tatu sasa, moja ya changamoto kubwa ambayo iatajwa kuikumba dunia siku za usoni ni upatikanaji wa mbolea kwa wakulima. Athari za vita hivyo, inatoa mwangwi kwa wakulima hapa nchini kujiweka mguu sawa ili kukabiliana na changamoto hiyo, ambapo Tanzania ni…