Ondoka na Mshiko Ndani ya Meridianbet Leo

JE unajua kuwa siku ya leo unaweza kuondoka na mkwanja wako ndani ya Meridianbet kwani mechi za ushindi zote zinachezwa hapa. Suka jamvi lako la uhakika na ushide siku ya leo. Ligi kuu pendwa ya Uingereza EPL, inaendelea AFC Bournemouth atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Brentford ambao wapo nafasi ya 7 huku wenyeji wao…

Read More

MEELA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUKEMEA SWALA LA WIZI.

MOSHI.  Wimbi la wizi, hasa wa mita za maji, limeendelea kuwa changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hali inayozua wasiwasi kwa wananchi na viongozi wa jamii. Kutokana na hali hiyo, viongozi wa dini wametakiwa kutumia nafasi zao kuzungumzia na kukemea vitendo hivyo pamoja na kuwaombea vijana wanaojihusisha na uhalifu…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI WANANCHI KIGOMA SERIKALI KUKAMILISHA MIRADI YOTE YA VIPANDE VYA BARABARA VILIVYOSALIA

*Aelezea pia umeme wa uhakika, kuvutia wawekezaji wa viwanda Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Kigoma Serikali itahakikisha miradi yote ya barabara inayoendelea katika Mkoa wa Kigoma inakamilika ikiwemo vipande vyote vilivyosalia vya barabara kuu. Baadhi ya vipande hivyo vya…

Read More

Tanzania Prisons yamnyatia Chilunda | Mwanaspoti

WAKATI KMC ikielezwa huenda ikaachana na aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Shaaban Idd Chilunda, uongozi wa Tanzania Prisons upo katika mazungumzo na kambi ya mchezaji huyo, ili kuipata saini yake kwa msimu ujao wa 2025-26. Chilunda ni miongoni mwa nyota wanaotajwa huenda wakaachana na KMC kutokana na kutofikia makubaliano ya kusaini dili jipya, jambo linaloziingiza…

Read More

Jaji mstaafu, mawakili walinyooshea kidole Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Robert Makaramba kukosoa kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kumshambulia wakili Deogratius Mahinyila katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mawakili wameeleza kwamba kitendo hicho ni kuingilia uhuru wa Mahakama. Katika tukio hilo la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa…

Read More

Aliyejaribu kujiua baada ya kumuua mkewe, ahukumiwa kifo

Arusha. Licha ya jaribio la kunywa sumu ya kuulia wadudu kwa lengo la kujiua baada ya kumuua mkewe, Rehema Daniel, kwa kumkata kwa panga, Peter Deus hakuweza kuukwepa mkono wa sheria. Baada ya sumu hiyo kuanza kumletea maumivu makali tumboni, alipiga simu polisi kuomba msaada. Tukio hilo lilitokea Septemba 24, 2023, katika Kijiji cha Njiapanda,…

Read More