UPELELEZI KUHUSU TARIMO NA WAMILIKI/MILIKI WA JENGO KARIAKOO
Home » UPELELEZI KUHUSU TARIMO NA WAMILIKI/MILIKI WA JENGO KARIAKOO About the author
Home » UPELELEZI KUHUSU TARIMO NA WAMILIKI/MILIKI WA JENGO KARIAKOO About the author
Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani Juni 20, mwaka huu, nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), maelfu ya wakimbizi nchini humo walikuwa wamekimbia makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea. Kwa mujibu wa ‘Voice of America’, kambi ya Minova ina wakimbizi zaidi ya 3,000 wanaohifadhiwa ambao wanaishi maisha magumu bila kupata misaada. Wakuu…
WATUMISHI wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wamehimizwa kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kufanikisha malengo yaliyowekwa katika mpango kazi wa taasisi hiyo. Ushauri huu umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Dkt. Erasmus Kipesha, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi, wakati wa kikao cha nne cha baraza hilo kilichofanyika leo, Machi 10,…
KAMATI ya Nidhamu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nidhamu katika michuano ya CHAN inayoendelea na kutoa uamuzi kadhaa dhidi ya vyama vya soka vya Zambia, Kenya na Morocco. Katika kikao hicho Shirikisho la Soka Zambia (FAZ) lilipatikana na hatia ya kukiuka Kanuni za vyombo vya habari wakati wa mkutano…
Arusha. Mtalii mmoja raia wa Israel ambaye jina lake halijafahamika (mwanamke) amefariki dunia huku wengine watano wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Januari 5, 2025 na Kaimu Meneja wa Uhusiano wa Umma wa NCAA, Hamis Dambaya imeeleza ajali hiyo imetokea…
Mwanachama mwandamizi wa Simba na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dk Hamis Kigwangalla amefurahishwa na maendeleo ya timu hiyo huku akisema kwa sasa anakoshwa na utendaji kazi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Bilionea Mohammed Dewji. Kigwangalla ametoa kauli hiyo akipinga taarifa feki iliyotolewa na ukurasa wa X uliojitambulisha kwa jina lake ukimlaumu Dewji…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itazifanyia kazi changamoto zilizowasilishwa na Chama cha Waendesha Ofisi Tanzania (TAPSEA) katika Mkutano wa 12 wa Kitaaluma wa chama hicho unaofanyika katika Ukumbi wa Ngurdoto Mkoani Arusha. Mheshimiwa Rais amesema hayo alipowasalimu wanachama wa TAPSEA kwa njia ya simu wakati wa…
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilianzishwa rasmi tarehe 25 Oktoba, 1961, kama sehemu ya jitihada za chama cha TANU chini ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere, wakati Tanzania (Tanganyika kwa wakati huo) ikielekea kupata uhuru. Jengo la awali lililokaliwa na chuo kilikuwa makao ya TANU, ambalo baadaye liligeuzwa kuwa jengo la SUKITA. Chuo…
MWADUI – SHINYANGA Serikali kwa kushirikiana na Kampuni Williamson Diamond inaweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa bei ya madini ya almasi katika soko la Dunia kutokana na kuibuka kwa almas inayotengenezwa katika Maabara na kuongezeka kwa mahitaji ya madini mengine. Hayo yalielezwa na Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde wakati wa ziara…
Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…