Kiama kwa waharibifu wa mazingira, vyanzo vya maji

Morogoro. Tatizo la uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji linaloendelea nchini, limeifanya Serikali kutoa maagizo saba kwa mamlaka za wilaya, mikoa na za maji ikiwamo kutungwa sheria ndogo za kusimamia vyanzo vyote vya maji na kuwachukulia hatua kali watakaokaidi. Maelekezo mengine ni kila Mtanzania popote alipo kutambua ajenda kubwa na muhimu kwa sasa ni…

Read More

ISLANDS OF PEACE YAZINDUA MRADI WA “AGRO KILIMO” KUWEZESHA VITUO VYA MAFUNZO YA KILIMO NCHINI

Farida Mangube, Morogoro Shiriki la kimataifa lisilo la Kiserikali la Islands of Peace Tanzania wameeleza mpango wa kuongoza mageuzi makubwa kwenye sekta ya Kilimo kwa kuviwezesha vituo mbalimbali vinavyotumika kutoa mafunzo ya mbinu bora za kilimo kwa wakulima kupitia mradi wake wa AGRO KILIMO uliopangwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka miwili. Akizindua mradi huo, Balozi…

Read More

Serikali yahamasisha watumishi wa umma kwenda kupiga kura

Dodoma. Serikali imewahamasisha watumishi wa umma kuhakikisha wanashiriki upigaji wa kura siku ya uchaguzi mkuu ili nao watumie haki yao ya kuchagua na kila mmoja anatakiwa kuwa katika kituo alichojiandikishia. Hata hivyo, watakaoshindwa kufika katika vituo walivyojiandikisha wanatakiwa kupiga kura mahali walipo kwa kuchagua nafasi ya Rais pekee kwani inaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kampeni dhidi ya Ahoua inashtua

KUNA mambo tunatarajia kuyaona yakifanywa na sisi hapa kijiweni lakini inapofikia hatua unayaona kwa watu ambao hawakupaswa kuyafanya kutokana na nafasi zao au taasisi walizopo inashangaza kidogo. Mfano tunatarajia katika soka au michezo, mitazamo ya wachambuzi iwe ya kitofauti au inayochimba kwa undani zaidi juu ya jambo fulani, tofauti na tunaokaa vijiweni kwa vile sisi…

Read More

Mashambulio mabaya ya Kirusi yanasukuma raia zaidi katika mzozo wa msimu wa baridi – Masuala ya Ulimwenguni

Naibu Katibu Mkuu wa Masuala ya Kisiasa Rosemary DiCarlo aliiambia mabalozi mwanzoni mwa 2026 “hakukuwa na amani au hata ahueni kwa Ukraine, lakini mapigano mapya na uharibifu.” “Wakati hali ya joto inapungua chini ya baridi, Shirikisho la Urusi limezidisha mashambulizi yake ya kawaida yanayolenga miundombinu ya nishati ya Ukraine,” alisema, akibainisha kuwa mgomo huo umeua…

Read More