Mukwala anahesabu saa tu | Mwanaspoti

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

SBL YAZINDUA SERENGETI PREMIUM APPLE CHA KITANZANIA

::::::::::::: Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania.  Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa,…

Read More

Kuongezeka kwa ukosefu wa usalama katika Mashariki inazuia maendeleo ya kidiplomasia, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Licha ya maendeleo ya kidiplomasia katika miezi ya hivi karibuni, na Merika ikifanya makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda, na Qatar kuwezesha tamko la kanuni kati ya serikali ya Kongo na waasi wa M23, mvutano unabaki juu katika DRC ya Mashariki – ambapo vikundi vingi vya silaha vinafanya kazi. Baraza la Usalama pia…

Read More

Yanga yashusha jezi mpya kuwakimbia ‘wafyatuaji’

Yanga imesema imeshusha mzigo wa jezi mpya awamu ya pili zitakazokuwa na mabadiliko ili kuwakimbia wahujumu wa mapato wanaofyatua jezi feki. Akizungumzia hilo, Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mwekezaji wa biashara ya jezi za klabu baada ya kumalizika kwa jezi za kwanza ameshtukia uwepo wa uzi feki mwingi sokoni. Kamwe amesema baada…

Read More

Moshi yapendekeza halmashauri mpya ya Vunjo

Dar es Salaam. Kikao maalumu cha ushauri (DCC) Wilaya ya Moshi kimepitisha mapendekezo mawili ya kuanzishwa kwa halmashauri mpya ya Vunjo na kupandishwa hadhi kwa barabara mbili za wilaya kuwa za mkoa. Mapendekezo hayo yamekuja baada ya ziara ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi akisisitiza maboresho ya kiutendaji na…

Read More