Lissu aomba kuirahisishia kazi Jamhuri ushahidi wa kesi yake

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameiomba Jamhuri isihangaike kuwaita mashahidi kuthibitisha baadhi ya vielelezo vya ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akisema kuwa hana shida navyo. Lissu amewasilisha ombi hilo mahakamani baada ya kusomewa shtaka la uhaini linalomkabili na kujibu, kisha akasomewa maelezo ya awali ya kesi…

Read More

Zanzibar, Qatar zasaini makubaliano ya Sh25 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa Dola za Marekani 10 bilioni zaidi ya Sh25 trilioni na kampuni kutoka Qatar. Kiasi hicho cha fedha kinalenga kutumika katika sekta miradi ya kimkakati na kipaumbele ukiwemo uchumi wa buluu, utalii, uhifadhi wa mafuta, bandari na nishati ya umeme. Mkataba huo…

Read More

Ishu ya Simba, Sowah yafikia hapa!

MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Swedi Mkwabi amesema suala la Jonathan Sowah bado lipo katika kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, hivyo uamuzi wake utatolewa kila kitu kitakapokuwa sawa. Mkwabi aliyasema hayo baada ya kuwepo kwa taarifa za Sowah kujibu tuhuma zinazomkabili zilizofanya uongozi wa klabu kumsimamisha tangu timu ilipokuwa ikijiandaa na mechi…

Read More

Jumuiya ya Kimataifa kuweka misingi ya utawala wa AI unaohitajika haraka – maswala ya ulimwengu

Uwekezaji, Matarajio na Wasiwasi: Hizi ni tatu kati ya madereva makubwa ya kupendeza katika akili ya bandia na athari zake. Kwa sababu changamoto na fursa ni za ulimwengu, majibu pia yanahitaji kuwa kamili zaidi kuliko suluhisho zilizogawanyika na zilizopigwa ambazo zimetungwa hadi sasa: a Ripoti ya UN kutoka 2024 iligundua kuwa nchi 118 hazikuwa vyama…

Read More

Usiku wa Mabingwa: Bashiri, Ushinde, Shinda Maokoto!

Je unajua kuwa leo hii usiku wa Ulaya unaanza?. Timu mbalimbali kutoka Mataifa mbalimbali zinachuana vikali kusaka pointi tatu muhimu. Leo hii kuna Arsenal. Real Madrid, PSV na wengine wengi. Wewe chuana na Meridianbet kupata ODDS za kibabe na ubashiri sasa. Wababe wa Ulaya Real Madrid watakuwa Santiago Bernabeu kumenyana vikali dhidi ya Olympique Marseille…

Read More

ISW YAONGEZA FURSA MPYA KWA WANAOTAKA KUHUDUMIA JAMII KWA UTAALAMU

NJIA MBADALA ZA KUTATUA MIGOGORO NJE YA MAHAKAMA Akizungumza na mwandishi wa makala haya, Mhadhiri Msaidizi kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii, Idara ya taaluma za kazi,Asteria Mlambo amesema idara hiyo imeanzisha program mpya inayolenga kutatua migogoro kwa kutumia njia yingine tofauti na mahakama (Conflict Management and Alternative Dispute Resolution). Bi. Mlambo alisema program hiyo…

Read More