Gombo amwaga sera Shinyanga amtaja Mpina, Lisu

Shinyanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, ameahidi kufuta gharama za matibabu, elimu hadi chuo kikuu, pamoja na mikopo ya watumishi wa umma mara tu atakapochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungumza leo, Septemba 4, 2025, wakati wa kampeni za kuomba kura kwa wananchi zilizofanyika katika Stendi ya…

Read More

Beki Yanga aanika mipango ya msimu

WANA fainali ya Ngao ya Jamii kwa wanawake, Yanga Princess, wamedhamiria kufanya makubwa msimu huu ikiwamo kubeba taji la Ligi Kuu ya Wanawake kwa mara ya kwanza ikiwa ndio ndoto yao. Chini ya kocha aliyerejea msimu huu, Edna Lema ‘Mourinho’, Yanga Princess ilitinga fainali ya Ngao ya Jamii kwa kumtoa mtani wake, Simba Queens kwa…

Read More

Dar City kuachia kikosi kabla ya Mei 8

KOCHA Mkuu wa Dar City, Mohamed Mbwana amesema atatangaza kikosi kitakachoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kabla ya kufungwa dirisha la usajili Mei 8. Mbwana aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapya na wa zamani walioongezewa mikataba nao watatangazwa siku hiyo. Hata hivyo, hakutaka kudokeza majina ya wachezaji wapya na kusisitiza yatatangazwa kabla ya…

Read More

Lusajo asaka rekodi mpya Tabora United

BAADA ya kushindwa kufanya vizuri Dodoma Jiji na kutua Tabora United mshambuliaji,  Reliants Lusajo ametaja sababu iliyomnyima rekodi ya upachikaji mabao msimu uliopita na kuahidi neema msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Lusajo alisema hakuwa na msimu mzuri msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara lakini anamshukuru Mungu msimu huu yupo fiti…

Read More

Simba yamnyatia beki Mkenya | Mwanaspoti

KLABU ya  Simba Queens imeanza kufuatilia kwa ukaribu dili la beki wa kati wa Wiyeta FC ya Kenya, Lorine Ilavonga (17) katika mipango ya kufanya maboresho eneo la ulinzi kuelekea msimu ujao. Inaelezwa beki huyo ambaye mkataba wake unaisha mwisho wa msimu huu anahitajika na klabu mbalimbali ikiwemo Police Bullets ya nchini Kenya. Beki huyo…

Read More

Vijimambo vya Fountain Gate | Mwanaspoti

MSIMU wa 2024/25 uko mbioni kumalizika, lakini ndani ya msimu huu kuna mambo flani yametokea katika kikosi cha Fountain Gate na Foutain Gate Pricess ambayo yafurahisha. Timu hizo zimekuwa na mwendelezo wa matukio ya kusisimua nje ya uwanja. Itakumbukwa mwaka jana ilimsimamisha ofisa habari, Issa Liponda na baadaye ikamrejesha kuendelea na majukumu, katika tukio lililokuwa…

Read More

Haya hapa matokeo ya ubunge CCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kutangaza matokeo ya kura za maoni za wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, hatua muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Aliyekuwa Mbunge wa Pangani, Mkoa wa Tanga, Jumaa Aweso ameongoza kwenye kura za maoni kwa kupata asilimia 100 ya kura zote 3,806 zilizopigwa katika kata 14…

Read More