‘Ulimwengu unakutafuta kwa uwazi’, mkuu wa Umoja wa Mataifa anawaambia wataalam wa AI – Global Issues

“Mmoja mmoja, mnatoka katika maeneo na taaluma mbalimbali, na kuleta utaalamu bora katika AI na nyanja zinazohusiana. Kwa pamoja, unawakilisha kitu ambacho ulimwengu haujawahi kuona,” Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwaambia wanasayansi Jumanne katika mkutano wa kwanza wa Jopo Huru la Kimataifa la Sayansi kuhusu AI. Wataalamu hao 40 wanalenga kusaidia kuziba “pengo la maarifa…

Read More

Beki Simba apewa mmoja Zambia

ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AANIKA MAENDELEO LUKUKI YALIYOPATIKANA MTWARA

*Aihitimisha kampeni zake mkoani humo kwa kishindo …wananchi wamuahidi kutiki Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara. MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM amesema katika miaka mitano iliyopita Mkoa wa  Mtwara kwa upande wa huduma za kijamii uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza leo Septemba 25,2025 katika mkutano wa…

Read More

Wakulima wa kahawa Mbinga, wapata tumaini jipya

Mbinga. Wakulima wa zao la kahawa katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wameanza kushuhudia ongezeko la tija, ubora na bei ya zao hilo, hali inayochochea matumaini mapya ya kuinua uchumi wa kaya na vijiji kwa ujumla. Mathalani, msimu wa mwaka jana, bei ya kahawa ilipanda kutoka wastani wa Sh7,000 hadi zaidi ya Sh11,000 kwa kilo…

Read More

TANZANIA YATAKIWA KUWEKA VIWANGO VYA UBORA WA HUDUMA ZA RADIOLOJIA KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA

………….. Wataalamu wa huduma za mionzi tiba na uchunguzi kutoka Taasisi za dini, Hospitali ya Taifa, Kanda, Maalum pamoja na zile binafsi wametakiwa kuhakikisha wanaweka na kuzingatia viwango vya ubora wa huduma vinavyokubalika kimataifa ili kuongeza tija na ufanisi katika utoaji wa huduma hizo. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Huduma za Radiografia kutoka Wizara…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NCHINI

▪️Awataka wazingatie maadili, wadumishe uadilifu na kulinda usiri wa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri wa taarifa zote zinazohifadhiwa kwani taarifa hizo ni nyenzo muhimu ya usalama wa Taifa na maendeleo ya nchi. Amesema kuwa Chama Cha Menejimenti ya Kumbukumbu…

Read More

Askofu Mapunda asisitiza haki kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida, Edward Mapunda amewatahadharisha Watanzania kutorubuniwa kwa rushwa na kuomba haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu wa kuchagua  Rais, Wabunge na Madiwani na kusisitiza atakayeshinda ashinde kwa haki. Hatua hiyo imetajwa ni kuhepusha  migogoro sambamba na kusisitiza  watakao shindwa wakubali  matokeo  ili kulinda amani ya…

Read More