Bodi ya Ligi Zanzibar yachukua hatua vipigo vya waamuzi

KATIKA Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), bado waamuzi wameendelea kuteseka kwa kuchezea vipigo kutoka kwa mashabiki, viongozi na hata wachezaji. Hata hivyo, Bodi ya Ligi Zanzibar, imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuwafungia mashabiki na viongozi wa  timu kushiriki katika mashindano yoyote yanayoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu (ZFF). Licha ya adhabu hizo, lakini sio…

Read More

Tanzania, Ghana zakubaliana haya | Mwananchi

Dar es Salaam. Tanzania na Ghana zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimkakati hususan katika mageuzi ya kiuchumi, ajira kwa vijana na maendeleo ya uchumi wa kidijitali. Makubaliano hayo, yamefikiwa leo Jumatatu, Machi 1, 2026 katika mazungumzo baina ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Ghana, John Mahama yaliyofanyika Ikulu Arusha. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

Maximo sasa freshi KMC | Mwanaspoti

UONGOZI wa KMC umesema kwa sasa kila kitu kimekamilika kwa kocha mkuu wa timu hiyo raia wa Brazil, Marcio Maximo, baada ya kushindwa kukaa benchi katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026, dhidi ya Dodoma Jiji. Katika mechi hiyo iliyopigwa Septemba 17, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini…

Read More