SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei 02, 2025) alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka 100 na mkutano wa 100 wa Rotary International District 9214 kanda ya Tanzania na Uganda, uliofanyika katika ukumbi wa…

Read More

Mahakama yaombwa kuruhusu ushahidi kesi ya kujeruhi, lugha chafu

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha chafu inayowakabili wanandoa, Bhartat Natwan (57) na Sangita Bharat (54), upande wa utetezi kupitia Wakili Edward Chuwa umeomba mahakama kuruhusu kuoneshwa kipande cha video kinachoonyesha mlalamikaji, Kiran Ratilal, akitumbukizwa kwenye ndoo ya saruji. Maombi hayo yaliwasilishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron…

Read More

Hakuna Mafuta, hakuna chakula – DW – 11.07.2024

Akiwa na umri wa miaka 75, Galiche Buwa ameishi na kushuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe, njaa na majanga ya asili, lakini mjane huyo wa Sudan Kusini, mama wa watoto wanne, mara zote alifanikiwa kupata riziki na maisha yalisonga, kutokana na biashara yake ya kuuza vyakula na mboga mboga. Lakini sasa, hata biashara hiyo iko…

Read More

Maajabu ya parachichi kwa afya ya binadamu

Dar es Salaam. Parachichi  ni miongoni mwa matunda yenye faida kubwa mwilini, na moja wapo ya faida hiyo ni kuimarisha usagaji wa chakula tumboni. Utafiti mwingi unaonesha kuwa watu wenye mazoea ya kula tunda hilo kwa wingi, huwa na afya njema na uzito unaokubalika kiafya. Tunda hilo lenye mafuta mengi, linasaidia kupunguza hatari ya mtu kupatwa…

Read More

Mundindi kijiji cha mfano bima ya afya

Dodoma. ‘Utajiri namba moja ni afya’ ndivyo anavyosema Fulko Mlowe mkazi wa Kijiji cha Mundindi kilichopo wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe ambacho wakazi wake wote wamekatiwa bima ya afya na serikali ya kijiji. Mundindi ni kijiji chenye jumla ya wakazi 3,196, lakini ambao walikuwa hawana bima ya afya ni wakazi 2,586 na wote hao sasa…

Read More

Hatari inayowakabili wanaume wenye matiti makubwa

Wanaume wenye matiti ambayo yametanuka (gynecomastia), wapo katika hatari ya kufa kabla ya kufika umri wa miaka 75, wanasayansi wamebaini. Watafiti wamefichua kuwa wanaume ambao wana maradhi kama saratani, matatizo kwenye mapafu ambayo hayajagunduliwa na magonjwa mengine sugu,  wapo katika hatari zaidi kufa ikiwa  wana matiti ambayo yametanuka. Mwanaume kuwa na matiti makubwa, husababishwa na…

Read More

Ahadi ‘hewa’ Ujenzi zavuruga wabunge

Dodoma. Wabunge wamecharuka wakilalamikia ahadi zisizotekelezwa za ujenzi wa barabara, mwingine akitoa ushahidi wa hotuba za Wizara ya Ujenzi za miaka mitano.  Mbunge mwingine ametoa ushahidi wa sauti iliyosikika ya Spika Dk Tulia Ackson na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa wakati huo, Profesa Makame Mbarawa, akithibitisha kuhusu ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami…

Read More

Kumekucha! KenGold yatimua watano kwa mpigo

Dirisha dogo la usajili tayari limekwisha kufunguliwa tangu Desemba 15, klabu mbalimbali zimeanza kufanya maboresho ya timu zao ili kuongeza nguvu na kufanya vizuri nmzunguko wa pili wa Ligi. Katika kufanya maboresho wapo watakaopunguzwa na wengine kuongozwa. Ikiwa inauelekea mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara leo dhidi ya Simba utakaochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex…

Read More