VITONGOJI UKANDA WA NYASA VYAFIKIWA NA MIRADI YA REA

       ****** Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeendelea kutekeleza miradi ya kupeleka huduma ya umeme katika maeneo ya vitongoji ili kuwawezesha wananchi waliopo maeneo hayo kupata huduma bora ya nishati ya umeme kwa ajili ya Maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.  Hayo yamebainishwa na Msimamizi wa Miradi ya REA, Kanda ya Nyanda za…

Read More

Kachwele apelekwa HFX Wanderers | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Cyprian Kachwele amejiunga na Halifax Wanderers FC ya Ligi Kuu Canada kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Whitecaps FC 2. Mkataba huo unatamatika Desemba 31 mwaka huu na inaelezwa Kachwele amesajiliwa ili kukiongeza nguvu kikosi cha Wanderers. Inaelezwa sababu ya nyota huyo kutolewa kwa mkopo ni kumpa muda zaidi wa kupata…

Read More

MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI SERIKALINI- DKT. BITEKO

Mwanza. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko, amehitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza lililofanyika Jijini Mwanza akiweka mkazo kuwa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha kuwa kila taasisi inatimiza wajibu wake kwa ufanisi na hivyo kufikisha huduma bora kwa wananchi. Kutokana na…

Read More

Hekaheka wiki ya kwanza kuzisaka kura urais 2025/30

Dar es Salaam. Hekaheka za kusaka kura za nafasi ya urais katika wiki ya kwanza ya kampeni tayari zimeanza na kuvifanya vyama vya siasa kugawana maeneo ya nchi, kunadi sera zao kushawishi wananchi, ili wagombea wao wachaguliwe. Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho kilichofungua pazia la kumnadi mgombea wake, Samia Suluhu Hassan, sambamba na mgombea mwenza…

Read More

Mke alia mumewe kutoweka katika mazingira tata

Moshi. “Ninamuombea msamaha mume wangu kwa watu wanaomshikilia, naombeni mnisamehe na mimi kama mke wake na muwasamehe watoto niliozaa naye kwa sababu adhabu mnayompa Joseph hata mimi inanipata, tena inanipata zaidi kuliko huyo mnayemshikilia kwa sababu sijui alipo, kwa nini mnatutesa hivi?” Ni kauli ya Rehema Seleman (27), mkazi wa Kata ya Ng’ambo, mjini Moshi…

Read More

Wizara yasisitiza tahadhari ya mafua makali, Uviko19

Dar es Salaam.  Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kufuatia kuendelea kwa ongezeko la mafua makali na Uviko19, ikitahadharisha kuwa hali hiyo itaendelea hadi kipindi cha Aprili na Mei, 2026. Februari 25, 2026, Wizara ilitangaza rasmi kuwepo kwa mlipuko huo, ikiwataka wananchi kuchukua hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi….

Read More