VITONGOJI UKANDA WA NYASA VYAFIKIWA NA MIRADI YA REA
****** Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeendelea kutekeleza miradi ya kupeleka huduma ya umeme katika maeneo ya vitongoji ili kuwawezesha wananchi waliopo maeneo hayo kupata huduma bora ya nishati ya umeme kwa ajili ya Maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Msimamizi wa Miradi ya REA, Kanda ya Nyanda za…