Kesi ya ‘vigogo wa Kigamboni’ yakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeshindwa kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni, inayowakabili washtakiwa 13, wakiwemo wakuu wa Idara wa Manispaa ya Kigamboni, kutokana na washtakiwa wawili kushindwa kuleta Mahakamani wakitokea gereza za Segerea. Kesi hiyo ilipangwa leo Jumanne Januari 13, 2026…

Read More

Misukosuko anayopitia Mdude Nyagali | Mwananchi

Mbeya/Dar. Kwa mara ya sita tangu mwaka 2016, mwanaharakati Mdude Nyagali, amejikuta kwenye misukosuko, safari hii ikidaiwa watu waliojitambulisha askari polisi wamevamia nyumbani kwake, wakampiga na kumkamata. Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga leo Ijumaa Mei 2, 2025 kupitia taarifa kwa umma amekanusha taarifa hizo zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikilihusisha…

Read More

Kennedy aukubali mziki Singida Black Stars

NAHODHA wa Singida Black Stars, Kenedy Juma amesema licha ya ugumu na ushindani uliopo katika Ligi Kuu Bara lakini wamepambana na kuongoza ligi ikiwemo ushindi katika mechi tatu za ugenini, huku akisisitiza kwamba uwepo wa wachezaji wengi wa kikosi kikosini haumpi presha ya namba. Singida Black Stars inaongoza Ligi Kuu Bara baada ya kuvuna pointi…

Read More

Ibenge aitabiria Taifa Stars ubingwa Chan 2024

KOCHA mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonyesha kuvutiwa na kiwango cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa stars’ katika mashindano ya CHAN baada ya kuifunga Burkina Faso kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza. Ibenge yupo wilayani Karatu mkoani Arusha, ambako timu yake iko kwenye kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu…

Read More