Kitila: Serikali inataka kuwafuata watu popote walipo kidijitali

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo katika kuhakikisha ulimwengu wa kidijitali unamfikia kila Mtanzania amesema lazima watu wawezeshwe bila kusahau ushirikiano wa sekta binafsi, miundombinu na sera madhubuti. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 jijini Dar es Salaam, kwenye uzinduzi wa ripoti ya ujumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) ya Kampuni…

Read More

Richkard azitaka alama tatu Pemba 

Kocha Msaidizi wa Malindi, Mohamed Salah ‘Richkard’ amesema timu hiyo imejipanga vyema kuhakikisha inazipata pointi tatu za kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar. Mechi hiyo itachezwa leo Jumamosi saa 10:15 jioni kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Pemba, ambapo Chipukizi itakuwa mwenyeji wa Malindi. Akizungumzia maandalizi ya timu hiyo, Richkard amesema kutumia wachezaji wapya katika mechi hiyo sio sababu…

Read More

Cheza Leo, Pata Zawadi Kesho Na Win&Go Lucky Loser

MARA nyingi wabashiri wa michezo ya kasino hukutana na changamoto ya kupoteza licha ya kuchagua mchezo kwa umakini mkubwa. Lakini kupitia ubunifu wa Win&Go Lucky Loser, Meridianbet inaleta matumaini mapya kwa soko la wachezaji kwa kugeuza hasara ya leo kuwa ushindi wa kesho. Huu ni mfumo maalum unaobadilisha tiketi zisizofanikiwa kuwa fursa ya kujishindia hadi…

Read More

Sababu majanga ya moto majengo ya Kariakoo

Dar es Salaam. Kasi ya ukuaji wa biashara Kariakoo imeibua tatizo jipya la usalama baada ya kuibuka kwa matukio ya moto yaliyohusishwa na wapangaji kuhamia katika majengo kabla ya kukamilika. Ndani ya mwezi mmoja wa Agosti pekee, zimetokea ajali mbili za moto katika majengo yanayoendelea na ujenzi, huku kukiwa na wapangaji wanaoendelea na biashara zao….

Read More