TANZANIA NCHI YA MFANO USAWA WA KIJINSIA

Na Pamela Mollel,Arusha  Tanzania imeendelea kuwa nchi ya mfano katika kukuza usawa wa kijinsia, hasa kwa hatua zake za kihistoria za kuwa na Rais mwanamke wa kwanza, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Aidha, uwakilishi wa wanawake bungeni umefikia asilimia 37, hatua inayoashiria maendeleo makubwa katika kuhakikisha wanawake wanashiriki kikamilifu kwenye uongozi na maamuzi ya kitaifa. Hayo…

Read More

Ateba: Siri ya Simba ni hii tu

Simba SC imeanza msimu wa 2024/2025 kwa kishindo ikilinganishwa na msimu uliopita, ikiwa imecheza mechi sita na kuonyesha kiwango bora licha ya kuwa na wachezaji wapya 14 kwenye kikosi chao.  Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tabora United (3-0), Fountain Gate (4-0), Azam FC (2-0) na Dodoma Jiji (1-0),…

Read More

NMB yajitosa kuidhamini Yanga dhidi ya CBE CAF CL

  KUELEKEA pambano la marudiano raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL 2024/25), dhidi ya CBE ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini wa mechi hiyo, ushirikiano uliopewa jina la ‘Timu Bora, Benki Bora’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Yanga wanashuka dimbani Jumamosi…

Read More

Gari la mbunge lataifishwa, wahamiaji haramu watupwa jela

Moshi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na Mahakama ya Wilaya ya Moshi, zimeamuru kutaifishwa magari mawili yaliyokamatwa yakiwasafirisha wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, likiwamo linalodaiwa kumilikiwa na mbunge. Mbali na kutaifishwa kwa magari hayo kuwa mali ya Serikali ya Tanzania, mahakama zimewahukumu wahamiaji hao kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja au kutumikia kifungo cha…

Read More

Serikali kuwekeza zaidi kwenye michezo, Geay apongezwa

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini mkoani Manyara, Daniel Sillo amesema serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya michezo ili kuhakikisha nchi inawakilishwa vyema Kimataifa. Ameyasema hayo katika mashindano ya mbio za Nyika za Madunga msimu wa pili zilizofanyika leo Desemba 6, 2025…

Read More

Chama ashtua!… Wadau wafunguka | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wamepata mshtuko. Hii ni baada ya mpira mkubwa alioupiga Clatous Chama katika mechi mbili za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na kikosi cha Yanga. Awali mashabiki hao na baadhi wa klabu ya Yanga walikuwa wakiuponda usajili ya kiungo mshambuliaji huyo kutua Jangwani. Walikuwa wakidai ni mzee na aliyepitwa…

Read More