Simba, Yanga zaendelea kupanda CAF

Dar es Salaam. Simba imeendelea kuonyesha ukubwa wake Afrika baada ya kupaa katika viwango vya ubora wa klabu vya CAF hadi nafasi ya tano huku mtani wake Yanga naye akipanda. Kwa Simba kuwa nafasi ya tano inamaanisha imepanda kwa nafasi mbili kutoka ya saba ambayo ilikuwepo kabla ya kuanza msimu uliopita. Kwa mujibu wa chati…

Read More

Nyota saba washonwa ajali ya Dodoma Jiji

WACHEZAJI saba kati ya 37 waliopata majeraha katika ajali ya gari la timu ya Dodoma Jiji FC bado wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Kinyonga kutokana na kuumia kwa kukatwa na vioo wakati gari hilo lilipoanguka kwenye Mto Matandu katika barabara ya Kibiti-Lindi. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo alisema ajali hiyo…

Read More

Wakulima wanapata wakati wa kufufua misitu ya asili kupitia programu yenye nguvu ya blockchain-maswala ya ulimwengu

Caroline Awuor huelekea miche ya miti kwenye shamba lake katika Kaunti ya Siaya, Kenya Magharibi. Yeye ni wanufaika wa mradi wa miti yangu ya shamba. Mikopo: Jackson OKAta/IPS na Jackson Okata (Siaya, Kenya) Jumatatu, Desemba 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SIAYA, Kenya, Desemba 8 (IPS) – Kwa miaka, Morris Onyango alikuwa akijaribu kurudisha…

Read More

Tabora United yavunja mwiko ugenini

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Tabora United juzi katika Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC, umeifanya kuvunja mwiko wa kutoshinda ugenini tangu ipande daraja 2022-2023, baada ya kucheza michezo 17. Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Majaliwa, Lindi, Namungo ilipata bao kupitia kwa Djuma Shabani kwa penalti dakika ya 60 huku Tabora ikisawazisha kwa…

Read More

Zelensky asema serikali yake inahitaji “nguvu mpya” – DW – 04.09.2024

Mpango wa Rais Zelensky kutaka kufanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri, umesababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu. Kufikia sasa jumla ya mawaziri sita, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje Dmytro Kuleba, naibu waziri anayeshughulikia masuala ya ushirikiano wa Ulaya, waziri wa viwanda anayesimamia uzalishaji wa silaha Ukraine na wengine wawili, waliwasilisha maombi ya kujiuzulu na bunge…

Read More

Umuhimu wa kutenganisha amana za wateja katika mfumo wa benki Kiislamu

Hivi karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa rasmi Kanuni mpya za uendeshaji wa shughuli za kibenki zi-nazozingatia misingi inayoepuka riba. Kanuni hizi zitahusu uendeshaji benki zinazoepuka riba, na pia benki za kawaida zinazokusudia kutoa huduma za kifedha kupitia madirisha maalum yanayojulikana kama Islamic win-dows. Kutolewa kwa kanuni hizi ni hatua ya kihistoria katika sekta…

Read More

Simbachawene ataja maagizo ya Rais Samia

· Jeshi la Polisi kuwa lakutoa huduma · Taratibu za ukamataji mtuhumiwa kurekebishwa · Asisitiza watanzania kuipenda nchi yao Na Mwandishi Wetu,DODOMA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa Jeshi la Polisi ambapo mabadiliko…

Read More

Dabi ya Kariakoo yawaibua wabunge, wataka uwazi

Wabunge wameishukia Wizara ya Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo wakitaka itoe majibu ya kina katika mambo matatu likiwemo la kuifanya Bodi ya Ligi (TPLB) ijitegemee badala ya kuwa chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Mengine ni kutaka uwazi wa nini kinachoendelea kuhusu mazungumzo ya viongozi wa Timu za Simba na Yanga pamoja na…

Read More

Umuhimu wa mshikamano wa kijamii katika Uislamu

Uislamu unahimiza kusaidiana na kushirikiana ili kujenga jamii yenye huruma, haki na mshikamano wa kweli. Hakika, haifichiki kwa mwenye akili timamu kwamba jamii inayojengwa juu ya ushirikiano na mshikamano, yenye mapenzi ya kipaumbele na undugu miongoni mwa watu wake, huwa ni jamii imara, iliyostawi na iliyojengeka. Jamii ya aina hii haiwezi kubomolewa na yeyote, wala…

Read More