Ripoti zabaini kasoro tano uhamaji Ngorongoro

Dar/Dodoma. Wakati tume zilizoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan zikibainisha sababu za kukwama kwa mpango wa kuwahamisha wakazi wa ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro, Serikali imesema itaendelea na mpango huo lakini kwa mfumo mpya unaosisitiza hiari ya wananchi, ushirikishwaji mpana wa jamii na marekebisho ya kasoro zilizojitokeza awali. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Machi 12, 2026…

Read More

DC NYAMWESE ASISITIZA UJENZI WA BWENI UPEWE KIPAUMBELE MRADI WA VETA HANDENI

Na Mwandishi Wetu, Handeni MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilayani humo na kuagiza maboresho mbalimbali kwenye utekelezaji wa mradi huo unaotarajiwa kugharimu Sh.Bilioni 1.6. Miongoni mwa maboresho ni kuangalia namna ya kuhakikisha bweni linajumuishwa katika awamu ya kwanza ya ujenzi, ili wanafunzi waweze kuanza…

Read More

Thamani ya Yanga yaizidi hadi Al Ahly

MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni. Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo ni Euro 30 Milioni ambao ni zaidi ya Sh 88 bilioni) ikiwa ni zaidi ya…

Read More

DK.SAMIA AANIKA MKAKATI WA KUUFANYA MKOA WA RUVUMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA KWA UKANDA MIKOA YA KUSINI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali inakwenda kuufungua mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu lakini pia ukanda mzima wa kusini (Ruvuma, Mtwara na Lindi) kuwa ukanda wa biashara. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa wa Mji wa Songea mkoani Ruvuma…

Read More

Ahadi tata za wagombea zawaibua wasomi

Dar es Salaam. Wakati kampeni za vyama vya siasa zikizidi kupamba moto nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wasomi wamebaini pengo kati ya ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea na uwezekano wa kutekelezeka. Pengo hilo limewafanya wanataaluma hao kuona haja ya kufanya mdahalo  Septemba 28, 2025 jijini Dar es Salaam utakaovikutanisha vyama vya siasa,…

Read More

AFYA YA AKILI YASISIMUA MAAFISA MIPANGOMIJI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Maafisa Mipangomiji wanaoshiriki kikao kazi cha siku tatu mkoani Arusha wamejikuta katika msisimko wa hali ya juu kutokana na mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa akili hisia katika maeneo ya kazi iliyowasilishwa wakati wa kikao hicho. Mada hiyo iliyowasilishwa na daktari bingwa mbobezi wa figo…

Read More