DIT Yabuni Vifaa Maalum vya Elimu ya Vitendo, “Train Kits”

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wamebuni vifaa maalum vya elimu ya vitendo vinavyojulikana kama Train Kits, vilivyotengenezwa hapa Tanzania kwa kutumia rasilimali za ndani. Akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea Ukumbi wa Mlimani City, Hosea Kimaro, mwanafunzi wa DIT na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

AI ikitumika maabara, wataalamu wapewa angalizo

Mwanza.  Chama cha Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania (MeLSAT) kimesema kimeanza kutumia teknolojia ya akili mnemba (AI) katika utekelezaji wa majukumu yake. Hata hivyo, kimesisitiza kuwa wataalamu wake hawawezi kupoteza ajira, bali wataendelea kuwa kiungo muhimu kuhakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ufanisi. Akizungumza jijini Mwanza jana Septemba 25, 2025, katika kongamano la 38…

Read More

ZEXZY NA WIMBO WAKE MPYA HIGHER WAZIDI KUPENYA

Msanii Zexzy, anayefahamika kwa sauti yake ya kipekee na mitindo yake ya muziki inayogusa hisia, amerudi tena na kazi mpya inayotikisa anga la muziki. Kupitia wimbo wake wa hivi karibuni unaoitwa “Higher”, Zexzy ameonyesha ukuaji mkubwa wa kisanii na uwezo wa kipekee wa kuunganisha mashabiki kupitia ujumbe na mdundo wenye nguvu. “Higher” ni wimbo unaobeba…

Read More

Lusajo: Safari hii, hatutawaangusha | Mwanaspoti

NAHODHA wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amesema wanajua wana kazi kubwa ya kufanya msimu huu kuhakikisha wanafikia malengo, huku akimtaja kocha Florent Ibenge ni wa viwango na hawapaswi kumuangusha. Mwaikenda aliyemaliza msimu uliopita na mabao saba na asisti tatu, aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapo tayari kwa ushindani na kila mmoja anajua kazi kubwa iliyopo mbele yao….

Read More