Zanzibar kuwakutanisha wadau kujadili Kiswahili
Unguja. Wakati Julai saba ikitarajiwa kufanyika maadhimisho ya Kiswahili duniani, Zanzibar imejipanga kuadhimisha siku hiyo kuanzia Julai 5, kwa kufanya shughuli mbalimbali zinazohusiana na Kiswahili ambapo wadau na wananchi wameitwa kushiriki, ili kupata taaluma ya lugha hiyo. Novemba 23, 2021, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) lilitangaza na kukiwekea Kiswahili…