Zanzibar kuwakutanisha wadau kujadili Kiswahili

Unguja. Wakati Julai saba ikitarajiwa kufanyika maadhimisho ya Kiswahili duniani, Zanzibar imejipanga kuadhimisha siku hiyo kuanzia Julai 5, kwa kufanya shughuli mbalimbali zinazohusiana na Kiswahili ambapo wadau na wananchi wameitwa kushiriki, ili kupata taaluma ya lugha hiyo. Novemba 23, 2021, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) lilitangaza na kukiwekea Kiswahili…

Read More

Tanzania yataja ongezeko shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema miongoni mwa magonjwa yasiyoambukiza, shinikizo la juu la damu ndilo linaongoza kwa idadi ya wagonjwa wanaopata matibabu katika vituo vya afya nchini. Kufuatia hali hiyo, Serikali imepanga mikakati mbalimbali pamoja na kuboresha miundombinu, vifaa tiba na mafunzo kwa watoa huduma za afya kwa kuwajengea uwezo watoa…

Read More

Jumla ya watoto 15,000 wenye mdomo sungura wafanyiwa upasuaji

‎Dodoma. Jumla ya watoto 15,000 waliozaliwa na matatizo ya mdomo wazi (mdomo sungura) nchini wamepatiwa matibabu ya kurekebisha midomo yao kwa kipindi cha miaka 19 tangu huduma hiyo ianze kutolewa bure nchini. ‎Aidha, katika kipindi hicho, takribani watoto milioni mbili duniani kote wamefanyiwa upasuaji wa kurekebisha midomo yao na kurudisha tena tabasamu lao walilolikosa kwa muda…

Read More

Takwimu 5 kali ndani ya rekodi NBA

ARIZONA, MAREKANI: MSIMU mrefu wa NBA 2024-25 unaelekea ukingoni ukiwa umejaa rekodi mpya na matukio ya kukumbukwa. Zikiwa zimesalia saa chache tu kabla ya msimu wa kawaida kufungwa, haya hapa ni mambo matano yaliyovutia macho ya wengi. 1. THUNDER WAMEUPIGA MWINGI Oklahoma City Thunder imeandika historia kwa kuwa timu yenye tofauti kubwa zaidi ya pointi katika…

Read More

Askari wawili JWTZ wafariki dunia, wanne wajeruhiwa DRC

Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limesema askari wake wawili wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa wakitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumapili Februari 2, 2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda. “Kufuatia mashambulizi ya mfululizo katika maeneo…

Read More

Raia wa Kenya aliyedai ni Mtanzania, afukuzwa nchini

Tanga. Kuna usemi unaosema ukiwa muongo uwe na kumbukumbu, hiki ndicho kilichomuumbua raia wa Kenya, Mbaraka Mbaraka aliyekuwa anapinga kufukuzwa akidai ni Mtanzania, akasahau kuna mahali alikiri ni raia wa Kenya. Mamlaka za Tanzania zimesisitiza kuwa kitambulisho cha Taifa cha Tanzania kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), pasi ya Kusafiria ya Tanzania na…

Read More